Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Changamoto ambayo hamuioni ni kwamba mist players wanaingia msimu mwingine na fatique kubwa. Kazi vijana waliofanya msimu huu kuwa top of the league kwa 90% ya msimu ni kubwa mno. Nguvu ilitumika sana. Wako exausted. Msimu ujao performance expected to be low labda muwalete alternative players kwa nafasi za kimkakati
 
Hakuna wa kumzuia City kwa sasa. Kosa kubwa kwa arsenal ni games za So'ton na Liver, zile draw mbili points nne zinazotugharimu ubingwa.
 
Yes. Kweli kabisa
 
Huu ni mwanzo tu, hakuna uchovu hapa, vijana wetu wengi umri mdogo, msimu ujao tunapiga pointi 100, atayemaliza juu ya Arsenal bingwa.
 
Huu ni mwanzo tu, hakuna uchovu hapa, vijana wetu wengi umri mdogo, msimu ujao tunapiga pointi 100, atayemaliza juu ya Arsenal bingwa.
Saka kachoka, bado hao wengine wataperform below std. Sio lazima wote wachoke. Key players wakishindwa kudeliver end product nzuri timu nzima inastrugle
Saliba kakosekana tu mkaruhusu magoli ya hovyo
 
Saka kachoka, bado hao wengine wataperform below std. Sio lazima wote wachoke. Key players wakishindwa kudeliver end product nzuri timu nzima inastrugle
Saliba kakosekana tu mkaruhusu magoli ya hovyo
Arsenal hatutakuwa na key player msimu ujao, kila mchezaji ni key na atakuwa replaceable vilevile, Saliba & Saka hawakuwa na mbadala quality wise, wanaoelewa mpira wanajua hilo.
 
Brighton inaonyesha classic symptoms za mid table team.

Anafungwa na Forest anamfunga United. What next anaongozwa 3 na Everton
 
Arsenal huu ndo ulikuwa msimu wenu,,,,poleni kuja kushinda tena PL sio Leo wala kesho!
Next season kuna timu zitafungulia busta zote, this time ilikuwa kitonga tu
 
ya tatu ipi mjomba Hassan
Man Utd this season.

★Carabao

★FA cup final

★Still in top four


Arsenal this season

★Chicken meeting in Fa Cup...OUT

★Chicken meeting in Carabao...OUT

★Chicken meeting in Europa...OUT

★Chicken meeting in premier league... BOTTLED


We are having a better season than the Trophyless Chicken meeting battalion by miles.
 
Mimi siyo mpuuzi. Lakini nitamchagua Partey siku yoyote

mpaka kufikia kuwa ni mshabiki wa Arsanal basi ni mpuuzi, mupo too emotional na hamuishi kwenye uhalisia. Tatizo lenu kubwa mkipenda mnapenda hasa, hua hata ukweli hamuuoni tena.
 
mpaka kufikia kuwa ni mshabiki wa Arsanal basi ni mpuuzi, mupo too emotional na hamuishi kwenye uhalisia. Tatizo lenu kubwa mkipenda mnapenda hasa, hua hata ukweli hamuuoni tena.
Sawa. Hua najitahidi kujudge mchezaji kwa ninavyomuona siyo kwa ninavyotaka awe.

Ikiwa Jorginho hawezi kukaba hata umuandikeje hatoanza kukaba leo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…