lembu
JF-Expert Member
- Dec 31, 2009
- 19,380
- 25,480
Changamoto ambayo hamuioni ni kwamba mist players wanaingia msimu mwingine na fatique kubwa. Kazi vijana waliofanya msimu huu kuwa top of the league kwa 90% ya msimu ni kubwa mno. Nguvu ilitumika sana. Wako exausted. Msimu ujao performance expected to be low labda muwalete alternative players kwa nafasi za kimkakatiUzuri nadhani Arteta huwa anajifunza kutokana na makosa. Last season tulikosa top 4 kijinga kabisa. This season kaipata 2nd place with 3 games to spare ila alipaswa kushinda title. Labda hata yeye, kama sisi na huenda wachezaji wake, alikuwa haamini kinachoendelea...kwamba tupo kileleni na uwezekano wa ubingwa upo.
Mwisho wa siku....self sabotage ya Hali ya juu