Kauli ya kusema timu zingine zitaamka na kuifanya arsenal ilale iyo sikubaliani nayo kabisa, ubora wetu ndio umetuweka hapo tulipo sasa, wao watatukuta tulipo na najua kuna ongezeko la wachezaji zaid msimu ujao kwaiyo ukitegemea wao wawe bora fikilia na sisi tutakua bora kuliko tulivyo sasa, iyo ni mentality ya uoga, kitu cha muhimu ulichosema ni upana w kikosi basi tena wachezaj wenye ubora mkubwa ..Squad depth ndio changamoto huwezi shindana na city ambayo haya kikosi B kinaweza beba ubingwa. Niliwahi sema mwanzoni mwa msimu nikatukanwa na kuambiwa depth sio muhimu maana Kuna wachezaji Wana chezea multiple positions.
Hivi unategemea kweli Holding ndio beki wa kukushindia ligi?? Hatuna natural RB aliye fit maana White kimahesabu ni CB so angeweza chezea badala ya Holding ila ndio tungekosa RB!! tayari ni tatizo.
Same to Saka au Odegaard sub zao ni Nelson na Vieira seriously? Au Nketiah kwa Jesus?? We need depth ndio tuanze kufikiria ubingwa. Hata msimu ujao tu focus kuwa na benchi imara kuanzia RB/RCB/CDM/ST. Unfortunately hii ndio ilikua best chance maana msomi ujao Newcastle, Man u , liver na Chelsea zitaamka so tunaweza hata tusimalize top 4.
So sad
Acha matusi ya rejareja. Take the L and relax. 😂 4 nyingi.Ujio wa Tecno na simu zingine za bei affordable umesababisha tunakutana na wajinga wengi mtandaoni. Mfano hawa nyumbu
Hapana mkuu kwenye Mpira unategemea pia weakness za wenzio kufanya vizuri. Hata msimu ambao Leicester alibeba ligi timu zote kubwa zilikua hovyo ndio maana alibeba ndoo kwa point chance mnoo kulinganisha na mabingwa wengine wa EPL.Kauli ya kusema timu zingine zitaamka na kuifanya arsenal ilale iyo sikubaliani nayo kabisa, ubora wetu ndio umetuweka hapo tulipo sasa, wao watatukuta tulipo na najua kuna ongezeko la wachezaji zaid msimu ujao kwaiyo ukitegemea wao wawe bora fikilia na sisi tutakua bora kuliko tulivyo sasa, iyo ni mentality ya uoga, kitu cha muhimu ulichosema ni upana w kikosi basi tena wachezaj wenye ubora mkubwa ..
Nakumbuka ulikuwa ukiwaambia ukweli ndugu zako wakaishia kukushambulia na kukuita mamluki sasahivi wanaamini maneno yakoSquad depth ndio changamoto huwezi shindana na city ambayo haya kikosi B kinaweza beba ubingwa. Niliwahi sema mwanzoni mwa msimu nikatukanwa na kuambiwa depth sio muhimu maana Kuna wachezaji Wana chezea multiple positions.
Hivi unategemea kweli Holding ndio beki wa kukushindia ligi?? Hatuna natural RB aliye fit maana White kimahesabu ni CB so angeweza chezea badala ya Holding ila ndio tungekosa RB!! tayari ni tatizo.
Same to Saka au Odegaard sub zao ni Nelson na Vieira seriously? Au Nketiah kwa Jesus?? We need depth ndio tuanze kufikiria ubingwa. Hata msimu ujao tu focus kuwa na benchi imara kuanzia RB/RCB/CDM/ST. Unfortunately hii ndio ilikua best chance maana msomi ujao Newcastle, Man u , liver na Chelsea zitaamka so tunaweza hata tusimalize top 4.
So sad
Mwingine huyu anaona 4 na 7 eti 4 nyingiAcha matusi ya rejareja. Take the L and relax. 😂 4 nyingi.
Yaani kaka hapo ndo tunapofeli tuLastly tunahitaji wachezaji katili,wagumu,wenye roho mbaya,dedicated na selflly motivated ILA technically and tactically gifted.
Nimekuelewa sana tena sana hii sentensi ya mwisho ndo inapigilia msumali wote.
Tuanze na Rice & Caicedo
Naona umeamua ufukue makaburi yote mkuu
Unfortunately our time has passed usishangae Arteta akatimuliwa msimu ujaoHapana mkuu kwenye Mpira unategemea pia weakness za wenzio kufanya vizuri. Hata msimu ambao Leicester alibeba ligi timu zote kubwa zilikua hovyo ndio maana alibeba ndoo kwa point chance mnoo kulinganisha na mabingwa wengine wa EPL.
Mfano msimu ujao tunaweza pata injuries kwa watu kama Saka, Odegaard ama Martinelli tayari msimu unafia hapo. Au say Chelsea ikapata kocha mzuri, kwa kikosi chake tu wanaweza fikisha 80+ points, hapo Bado Newcastle itamwaga pesa kuongeza depth and so will Man UTD na Liverpool so usitegemee ubora wetu pekee utatubeba sometimes na failure za competitors zinakubeba.
Pia Kuna kitu kinaitwa fatigue, ukipambania kitu sana ukakikosa morale yote inakufa. Imagine tumeongoza ligi kwa almost Kila wiki alafu Bado tumepoteza ubingwa unadhani mwakani fighting spirit inatoka wapi? Saka atakua gassed out, Odegaard motisha itashuka, ndio Mpira ulivyo. Unfortunately our time has passed usishangae Arteta akatimuliwa msimu ujao.
Tumepoteza kwa timu iliyokua bora zaidi, it's a fair results
As Arsenal We have a long way to go
Squad depth
Matured players, hawa Vijana hawatatufikisha popote pale
Come on up gunners
Arsenal NDOO
Haaland KIATU
Hii mechi yetu dhidi ya City Mikel Arteta angemjaribu Partey kwenye nafasi ya Saliba na pia Jorginho acheze #6. Kuna vitu huwezi kuona thamani yake paka Vikuondoke, wale team Partey nadhani tumeona mchezaji yupi ni ufunguo baada ya Saliba kuumia, quality ya Saliba na holding ni nchi na mbingu.
Timu ina struggle kwenye build up
Timu inakosa control
Timu inakuwa chini muda mwingi, si kwenye key zones ambazo zinafanya tufunge magoli km tulivyozoea.