Naona NZI wengi wanarukaruka hapa lakini hii komenti itaendelea kusimama. Ubingwa wa EPL ni kwa Arsenal msimu huu.
Mabadiliko kidogo ni kwamba sasa hivi lazima tushinde Etihad, Newcastle, Chelsea na Brighton pamoja na zile za Nottingham na Wolves.
Arsenal.🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥