Kandambili1
JF-Expert Member
- Jul 21, 2022
- 1,107
- 2,926
Chambuzi la duniaHii show mtuachie sie tuliyeamini toka pre season Arsenal anagombea ubingwa
Ila majority wakasema manjesta ndio taito contender
Kwahiyo hata Sasa tunahubiri ,City anaenda kufa kwake mapema Sana akikaza draw
Liverpool ndio mechi ngumu iliyokuwa imebaki
Kwasasa subiria WIN 7 mfululizo
Wewe ni arsenal siku hizi?Mwarabu apewe timu haraka sana
Huwezi shabikia timu Kwa kufunga mechi Moja acha uongoo mzee ....Mkuu! Nimekulia DSM, nimeanza kuipenda Arsenal baada ya kumpiga Man U 2-1, goli la Baptista, plus mpira mwingi, enzi hizo Jens Lehman kipa, ukimrudishia mpira kwa pass ya juu juu, anakutulizia kifuani, ilikuwa kati ya 2005 au 2006. Washkaji wengine waliamua kushabikia Man U kwasababu ya chenga za Ronaldo.
Huku mtaani tangu tupo madogo janja, Kuna Mashabiki wa Man U, na Arsenal alafu Chelsea kidogo, na liver wa kuhesabu. In short ukubali wewe ni Glory hunter
Halafu 2023 ukahamia Man City baada ya kuchukua trebleNimeanza kushabikia MANCHESTER United kwa sababu la shoti la Yule half Albino paulo Scholz alilowafunga Barca nusu fainali
Then fainali ya UEFA champions league time ambayo MANCHESTER United anamdundika Chelsea kwenye penati nikahamia Chelsea baada ya kuona ina weusi wengi nilikuwa najua ni watanzania mwaka 2008 hiyo
Then turudi nyuma kidogo nikawa shabiki wa Liverpool time wanapiga comeback ya goli 3 dhidi ya AC-milan iliyokuwa na manguli kama
Dida,cafu,Paulo maldin,jaap stam,nesta
Kaka,pirlo,seedof,Gattuso,crespo na shervshenko
Mwaka 2007 nikawa shabiki wa AC-MILAN mechi ambayo philipo Inzaghi aliwanyanyasa Liverpool saana
Ndio maana huna team kila Uzi unafika naandika utumboNimeanza kushabikia MANCHESTER United kwa sababu la shoti la Yule half Albino paulo Scholz alilowafunga Barca nusu fainali
Then fainali ya UEFA champions league time ambayo MANCHESTER United anamdundika Chelsea kwenye penati nikahamia Chelsea baada ya kuona ina weusi wengi nilikuwa najua ni watanzania mwaka 2008 hiyo
Then turudi nyuma kidogo nikawa shabiki wa Liverpool time wanapiga comeback ya goli 3 dhidi ya AC-milan iliyokuwa na manguli kama
Dida,cafu,Paulo maldin,jaap stam,nesta
Kaka,pirlo,seedof,Gattuso,crespo na shervshenko
Mwaka 2007 nikawa shabiki wa AC-MILAN mechi ambayo philipo Inzaghi aliwanyanyasa Liverpool saana
2023 nilikuwa Arsenal time ambazo walikuwa wanaudanganya ulimwengu kuwa tunaweza kuchukua EPLHalafu 2023 ukahamia Man City baada ya kuchukua treble
Timu yangu mm ni fc bandari ya tanga hatuna Uzi wetuNdio maana huna team kila Uzi unafika naandika utumbo
Hii mechi yetu dhidi ya City Mikel Arteta angemjaribu Partey kwenye nafasi ya Saliba na pia Jorginho acheze #6. Kuna vitu huwezi kuona thamani yake paka Vikuondoke, wale team Partey nadhani tumeona mchezaji yupi ni ufunguo baada ya Saliba kuumia, quality ya Saliba na holding ni nchi na mbingu.
Timu ina struggle kwenye build up
Timu inakosa control
Timu inakuwa chini muda mwingi, si kwenye key zones ambazo zinafanya tufunge magoli km tulivyozoea.
Mbona kinyonge sana! Lakini si mna kile kikombe chenu cha Emirates...Ubingwa basi tushaukosa
Ajaribu kwenye mechi muhimu!! Man City wanafungika tatizo lenu mna mchecheto... tulieni bado mnaweza kubeba epl vizuri tu.Hii mechi yetu dhidi ya City Mikel Arteta angemjaribu Partey kwenye nafasi ya Saliba na pia Jorginho acheze #6. Kuna vitu huwezi kuona thamani yake paka Vikuondoke, wale team Partey nadhani tumeona mchezaji yupi ni ufunguo baada ya Saliba kuumia, quality ya Saliba na holding ni nchi na mbingu.
Timu ina struggle kwenye build up
Timu inakosa control
Timu inakuwa chini muda mwingi, si kwenye key zones ambazo zinafanya tufunge magoli km tulivyozoea.
Kwamba timu inastruggle kufanya build up kisa Saliba hayupo?Hii mechi yetu dhidi ya City Mikel Arteta angemjaribu Partey kwenye nafasi ya Saliba na pia Jorginho acheze #6. Kuna vitu huwezi kuona thamani yake paka Vikuondoke, wale team Partey nadhani tumeona mchezaji yupi ni ufunguo baada ya Saliba kuumia, quality ya Saliba na holding ni nchi na mbingu.
Timu ina struggle kwenye build up
Timu inakosa control
Timu inakuwa chini muda mwingi, si kwenye key zones ambazo zinafanya tufunge magoli km tulivyozoea.