The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,480
- 98,527
I am watching BHA vs ManU, had we had Caicedo in the squad, we wouldβve won titles this season
Nasikia Saliba msimu kwake umeisha, atasubiri msimu ujaoIshu ni hii ratiba ya arsenyani hatukatai city kupoteza ila inawekuwa arsenyani wakapoteza zaidi.View attachment 2597157
Hivi nzi huwa wanafuata nini vile?Naona NZI wengi wanarukaruka hapa lakini hii komenti itaendelea kusimama. Ubingwa wa EPL ni kwa Arsenal msimu huu.
Mabadiliko kidogo ni kwamba sasa hivi lazima tushinde Etihad, Newcastle, Chelsea na Brighton pamoja na zile za Nottingham na Wolves.
Arsenal.π₯π₯π₯π₯π₯π₯π₯π₯
Kipindi hicho ulikuwa hujaanza kushabikia mpira uwongo!!Mara ya mwisho arsenal kushinda etihad ilikuwa mwezi January mwaka 2015.
MIAKA 8 ILIYOPITA!!
Cry morePep Guardiola is known to have privately remarked on how much more celebrated his success at Manchester City would have been if it were at Manchester United.
Hiyo ilikuwa January. City imejaa plastic fans. Hapo England tu haina mashabiki hawa waliopo huku ni glory hunter tu.
2015 nakumbuka nilikuwa form 5 ,tunacheki UEFA kipindi hicho nakumbuka man city tulikuwa tunaishia round ya 16 ,Barcelona katutoa ....Kipindi hicho ulikuwa hujaanza kushabikia mpira uwongo!!
π¨π¨π¨π¨π¨π¨2015 nakumbuka nilikuwa form 5 ,tunacheki UEFA kipindi hicho nakumbuka man city tulikuwa tunaishia round ya 16 ,Barcelona katutoa ....
Joe hart ni bonge la shot stopper kipindi Hiko ...
Frank lampard alikuwa ze cityzen ....
hakukuwa na namna yeyote ya shabikia wa arsenal kuwepo..
Kiufupi mashabiki wa arsenal ni wa enzi za kina Henry ,2003 huko ,ambapo sisi tulikuwa Bado hatujaanza hata la kwanza ....
Ndio maana mpaka Sasa mtaani huwezi Kuta shabiki wa arsenal kijana ....
Oya killer unahangaika na hivi vizee humu unajichosha tu.2015 nakumbuka nilikuwa form 5 ,tunacheki UEFA kipindi hicho nakumbuka man city tulikuwa tunaishia round ya 16 ,Barcelona katutoa ....
Joe hart ni bonge la shot stopper kipindi Hiko ...
Frank lampard alikuwa ze cityzen ....
hakukuwa na namna yeyote ya shabikia wa arsenal kuwepo..
Kiufupi mashabiki wa arsenal ni wa enzi za kina Henry ,2003 huko ,ambapo sisi tulikuwa Bado hatujaanza hata la kwanza ....
Ndio maana mpaka Sasa mtaani huwezi Kuta shabiki wa arsenal kijana ....
2015 upo form three , Sasa form three na 5 utofauti si miaka 2Sasa Mimi na wewe nani kijana?, 2015 me nipo 4m3, wewe umeanza kushabikia mpira lini??