Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Naona NZI wengi wanarukaruka hapa lakini hii komenti itaendelea kusimama. Ubingwa wa EPL ni kwa Arsenal msimu huu.

Mabadiliko kidogo ni kwamba sasa hivi lazima tushinde Etihad, Newcastle, Chelsea na Brighton pamoja na zile za Nottingham na Wolves.

Arsenal.🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
 
Jiambie mwenyewe, wewe ni KONDOO
 
In my honest opinion the best game plan could have been to win against hammers and soton. To either draw or win against liva.

And then to draw against city.

What has happened has pressured the entire Arsenal fanbase and the team as a whole.

I am watching BHA vs ManU, had we had Caicedo in the squad, we would’ve won titles this season
 
Timu imejaa vilaza ...

Sijui mashabiki wa arsenal wametoka wapi daaa ...

Mwaka wa 20 Sasa zero trophies,sijaona sababu ya mashabiki wa arsenal kuwepo ...

Siamin kama Kuna 20s anashabikia hii timu ,

Almost humu ndani ni wazeee 40+ years ...

Kubishana na wazee ni matumizi mabaya ya akili ...
 
I am watching BHA vs ManU, had we had Caicedo in the squad, we would’ve won titles this season
The board didnt believe if we could win the title.

Had they believed, it wouldn't be an issue to strengthen our bid.
 
Hawa Brighton ni wazembe kwenye finishing. Na defense yao ni shit pia.

Ni kama wamekubali kwenda penati
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…