Daahhh Carrasco umeanzisha msako wa nyumba kwa nyumba kuzitafuta hizi kima zilipo jificha?Arsexual wamehamia jukwaa la MMU huko
Spana za humu siyo mchezo
Uzi umeshabaki gofu huu, wachambuzi uchwara washakula kona.
Wanasubiri timu ije ishinde 2-1 kwa soton ndio waje waanze kudanganyana tena kwamba hamna timu inataka kucheza na arsenyau.
Daahhh Carrasco umeanzisha msako wa nyumba kwa nyumba kuzitafuta hizi kima zilipo jificha?
Tunakuomba kila unapoziona kwenye majukwaa mengine zikamate kisha uzilete humu zijibu shutuma zinazo wakabili.
@HENRY14 mtu wa Mungu hana baya na mtu, kuna zile pimbi zinazokuja kwenye majukwaa ya wanaume na kuanza kutukana hovyo kisa Arsenyau anaongoza ligi.[mention]HENRY14 [/mention] namuona jukwaa la mapishi arsexual imeshamvuruga
Wana kiherehere sn hawa kenge wakati wanajijua katimu kao kadogo, mwaka wa hamsini huu hawana furaha lkn kimbele mbele sasa.Hili Jukwaa limevamiwa na Wananchi wenye hasira kali yaani wanashambulia kama vile wanapiga mwizi
😀😀😀Tunakumbushwa tuwe na akiba ya manenoArsexual wamehamia jukwaa la MMU huko
Spana za humu siyo mchezo
utasikia hujakutana na Brighton wanaofanya building up kuanzia chini😂Hawajarufi tu wachambuzi uchwara wazee wa pressing & overloaing?
Hamis77 mzee wa build up kuanzia chini🤣🤣🤣🤣 wanakwambia hakuna timu inayopenda kucheza Arsenal🤣utasikia hujakutana na Brighton wanaofanya building up kuanzia chini😂
kila siku kuponda usajili wa Anthony 😀kama vile hela katoa yeyeHamis77 mzee wa build up kuanzia chini🤣🤣🤣🤣 wanakwambia hakuna timu inayopenda kucheza Arsenal🤣
Hutawaona wachambuzi uchwara wanasubiri washinde mechi ya Soton watoke mapangonikila siku kuponda usajili wa Anthony 😀kama vile hela katoa yeye
watakuja kujipoza kwetu kesho😀Hutawaona wachambuzi uchwara wanasubiri washinde mechi ya Soton watoke mapangoni
Lengo kuu lilikuwa ni kudanganya ulimwengu kuwa tunaweza kuchukua EPLView attachment 2592839
Nyie arsexual semeni ukweli malengo yenu yalikuwa ubingwa au Top 4
Kazi kupiga nyeto tu
Sio kuvamia, kwa zile nyodo na shombo zenu wananchi wenye hasira kali walikua wanawavutia muda tu wakisubiria siku mtakayo jikwaa.Nasikia kuna vyura vimevamia huu uzi.