Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Nasema hivi, City anashinda mechi zote zilizobakia kwenye EPL na UCL
Wewe Baki na litimu lako chelkenge

Upo points 6 na kushuka daraja

Wahuni wakikaza vzr ,mechi ya mwisho mnapelekwa Championship kucheza na kina Waycombe wanderas
 
Hujui mpira mzee ,Aston villa unamuweka top 4,?
Ulitaka nisimuweke wakati ana points 50 ,points 6 dhidi ya aliyepo top 4

Astonvilla ana form Kali ukimtoa Arsenal na city


Astonvilla ametoka kugombea kushuka daraja ,Sasa hivi yupo top 6

Bado ana mechi Vs manjesta

How comes nisimpe nafasi ya top 4

Points 6 alizozidiwa na Manjesta na Newcastle sio nyingi ,Tena manjesta hii ya Magwaya
 
Leicester ka create xG kubwa kuliko city

Big chances kuliko city

Wangekuwa makini wangeshinda au Sare

Mashabiki wengi hasa manjesta na baadhi wa chelkenge wanatupigia kelele humu ,mpira hawaangalii

Huyu city bwana wenu tutamtafuna vzr Sana ,

Narudia tunahitaji draw 2 tu katika mechi tulizobakiza ,hiyo Ni minimum tu


 
Wewe Baki na litimu lako chelkenge

Upo points 6 na kushuka daraja

Wahuni wakikaza vzr ,mechi ya mwisho mnapelekwa Championship kucheza na kina Waycombe wanderas
Tumepigwa sana bc tutakuwa nafasi ya 17 na hatuwezi kushuka daraja 😂
 
Upo sahihi kbsa mkuu
 
Sisi tunahitaji kushinda mechi nyingi iwezekanavyo ukimfunga city ila ukafungwa na brighton na west ham utakua umefanya nini?
 
Unajiamini sana mzee
 
Kweli kabisa mkuu, nafasi ya pili ni maajabu kwenu
Wana miaka zaidi ya 8 hawa Kima bila ya kuingia kwenye top 4, so hata wakimaliza ligi kwenye nafasi ya 4 bado watajiona msimu huu wamefanya wonders


Arsenyani ni One season wonder,
Msimu ujao kwenye Uefa wanatolewa mapema tu kwenye makundi na kurudi zao Europa, kwenye ligi ndio watapoteana kama walivyopoteana Leicester City msimu huu.


#Arsenyo Kondoo
#Haaland kiatu
#Mancity bingwa Epl 2022/2023
 
Nyumbu toka mlambwe 7-0 mmekuwa Kama wehu
 
Hata kabla ya kwenda Anfield mlijipa moyo hivihivi, tena mkatoa onyo kabisa kua Liverpool wasithubutu kutaka kupishana na nyinyi, maana kwa hio Liver mbovu mtawafanyia kitu ambayo haijawahi kufanyika tokea kuanza kwa Epl

Baada ya kufika Anfield sasa wazee wa pressing wakapressiwa wao mpaka wajikuta wenyewe wamepaki buss
 
Tuliamua kuwaachia tu ili tulinde goli, si unaona mwanzo tulivyopishana walipotea fasta.


Arteta on second half:
We relied on big defensive moments where Aaron took a big part and they missed the penalty. We missed that ruthlessness to take the game. It’s probably a fair result. The big lesson is play the way we did in the first half.

THE BIG LESSON IS TO PLAY THE WAY WE DID IN THE FIRST HALF.
 
Na ndo tutaenda ivyo hadi msimu huu uishe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…