Arsenal (The Gunners) | Special Thread


Akikufunga Mancity Etihad bingwa ni Mancity
 
Watu mnataka ushindi na mnakaa mnaridhika!

Mwenzenu Kipara hana utani mjue


Uzembe kama wenu ndo ulotucost mwaka jana tukashindwa kubeba hii ndoo.
Last time tulipoteza kwa city tukaenda na ushindi wa mechi saba mfululizo

Tumedrop points leo wachezaji watareact kwa ushindi mfululizo wa coming games
 
Last time tulipoteza kwa city tukaenda na ushindi wa mechi saba mfululizo

Tumedrop points leo wachezaji watareact kwa ushindi mfululizo wa coming games
Nenda kaangalie fixtures za April mkuu, zinafikirisha sana.
 
Nilisema April fixtures are very tricky, very tricky...Newcastle is another hurdle yani.
Hadi sisi mmeshindwa kutufunga?
Tulivyo wabovu!
Aisee

Mungu awape Nini


Mkienda huko City moto wake si wa nchi hii.
 
Kimsingi bado tunaongoza ligi kwa tofauti ya alama sita

Habari za mechi ya mkononi hazituhusu shinda kwanza mechi yako ndo uje tuongee
 
Hadi sisi mmeshindwa kutufunga?
Tulivyo wabovu!
Aisee

Mungu awape Nini


Mkienda huko City moto wake si wa nchi hii.
Hatutafsiri mpira namna hiyo mkuu, kwamba kwa vile ulifungwa nne na City, tukatoa sare na nyie basi City atatufunga...
 
Hawa liver walipaswa wapelekewe moto mwanzo mwisho Huwa wanatepeta sana kosa walilofanya Arsenal ni kupaki bas
 
Hatutafsiri mpira namna hiyo mkuu, kwamba kwa vile ulifungwa nne na City, tukatoa sare na nyie basi City atatufunga...
Msimu uliopita tukiwa kwenye peak, tulizembea hivhivi
Kwenda kumfunga City kwake ilishindikana
Na ndo akawa katushinda hivyo.
 
Ubingwa unahitaji roho ngumu sana

Usione wachezaji wa liva wamechoka vile muelewe Sasa sio Kila siku kusema Trent kachoka fakeni fakeni ooh sijui Salah mbovu

Kubebwa ubingwa ni kazi nyie Unahitaji roho ngumu na chafu Tena chafu mno
 
Nawakumbusha tu,City kuwa champion anatakiwa kushinda mech zake zote zilizobaki.
Halafu nyie wapuuzi mnapgia hesabu mech ya Ethad wakati hamjamalizana na Moyes.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…