Presha ya kupata ubingwa ndio inayoanza kutuletea shida zile feeling zinaanza kutuathiri mind set zawachezaji zimeanza kuathirika.
Kwa jinsi liver walivyoipania hii mechi kwetu naona ni a point gain.kama kweli tunautaka ubingwa tunatakiwa kupata points 3 kutoka kwa City lasivyo ubingwa ni majaaliwa
Naona upo hapa kusaga kunguni na kuzichoma.Sisi tunawatakia mema mjue
Uzembe wenu mnataka muache yule Kipara abebe tena
Poor arse8
Last time tulipoteza kwa city tukaenda na ushindi wa mechi saba mfululizoWatu mnataka ushindi na mnakaa mnaridhika!
Mwenzenu Kipara hana utani mjue
Uzembe kama wenu ndo ulotucost mwaka jana tukashindwa kubeba hii ndoo.
Kichwa cha bhangi iko mda wote kimejaa MoshiKametumbua tumbo badala kapambanie mechi
Dah
Kumfunga City nyumbani kwake siyo rahisi kihivyoLast time tulipoteza kwa city tukaenda na ushindi wa mechi saba mfululizo
Tumedrop points leo wachezaji watareact kwa ushindi mfululizo wa coming games
Nenda kaangalie fixtures za April mkuu, zinafikirisha sana.Last time tulipoteza kwa city tukaenda na ushindi wa mechi saba mfululizo
Tumedrop points leo wachezaji watareact kwa ushindi mfululizo wa coming games
Kwanj tumefungwa?😂😂😂Mbona unajipa furaha haipo.Wazee wa ku-overload moto 🔥 wa leo hamuwezi kuusahau
Hadi sisi mmeshindwa kutufunga?Nilisema April fixtures are very tricky, very tricky...Newcastle is another hurdle yani.
Hatutafsiri mpira namna hiyo mkuu, kwamba kwa vile ulifungwa nne na City, tukatoa sare na nyie basi City atatufunga...Hadi sisi mmeshindwa kutufunga?
Tulivyo wabovu!
Aisee
Mungu awape Nini
Mkienda huko City moto wake si wa nchi hii.
Wewe ngoja tutawashangaza save hii commentKumfunga City nyumbani kwake siyo rahisi kihivyo
Unajua hii sio logical kabisa, kwani city alipata alama ngapi Anfield?Hadi sisi mmeshindwa kutufunga?
Tulivyo wabovu!
Aisee
Mungu awape Nini
Mkienda huko City moto wake si wa nchi hii.
Msimu uliopita tukiwa kwenye peak, tulizembea hivhiviHatutafsiri mpira namna hiyo mkuu, kwamba kwa vile ulifungwa nne na City, tukatoa sare na nyie basi City atatufunga...