Mkuu trust me, Leo liver lazima akae nyumbaUzuri wa hii mechi hamna mtu anapaki basi, hata mmoja awe mbovu vipi hakuna kuheshimiana njoo na mimi nakuja, ATTACK ATTACK ATTACK
Ndio maana #LIVARS ni FIXTURE yenye magoli mengi zaidi kwenye historia ya EPL.
Tunatakiwa tuwe wazuri tukiwa na mpira na tunapokuwa hatuna mpira.
Mwisho wa msimu wote tutakuwa tume-qualify UEFA Champions League ila tofauti, nyie mtamaliza msimu bila kombe lolote.Huchoki tu,Kwanza ulidai mnachukua ubingwa ,Sasa hivi umehamia kupiga ramli kwa Arsenal
Unadhani Arsenal nianjesta iliyopigwa 7-0?
Kwa akili yako unadhani Arsenal anaenda kupaki Basi?
View attachment 2581768
Na mukij kumfanyia marking zaid ya watu wa2 muna tupa sabbu ya sisi kuwa wengiBado ,Kama umemsoma vzr hapo Ake anakwambia ukimzibia Space ,atapiga pass au Kross bado unakuwa matatizoni,
Juzi niliweka Uzi hapa SILAHA MBILI HATARI ZA SAKA
mkimuundia mpango mkakati wakumkaba atatoa Kross au pass ambayo mtakuwa matatizoni zaidi
Saka tarent ukiachan tarent ni fighter mbona leo jogoo kaz anayo[] Nathan Aké:
“It’s tough against this player [Bukayo Saka]…”
“I watched his games. If you give Saka too much space he can just run at you with pace and you’re in trouble. When the ball gets switched to Saka, I try to go as tight as quickly as possible with him so he has less space to do his actions in…”
“With Saka it’s very difficult because he likes to go inside, but if you close the inside off, he’ll go outside and cross. He can go both ways. It’s very tough.” #ManCity
[@TimesSport]
View attachment 2581102
Mwisho wa msimu wote tutakuwa tume-qualify UEFA Champions League ila tofauti, nyie mtamaliza msimu bila kombe lolote
Usifananishe sisi na nyie mliopigwa 7-0Mwisho wa msimu wote tutakuwa tume-qualify UEFA Champions League ila tofauti, nyie mtamaliza msimu bila kombe lolote.
UEFA wataamua wenyewe tuende Champions League kupitia top 4 au bingwa wa Europa League.Hiyo champions league nyie mtaikosa. Mikjitahidi sana mtaingia Europa league
Achezi hata mazoezini ajatokeaLast week, William Saliba’s absence was confirmed two days before the game. With less than 24 hours to go, there’s still no clarity on his availability. Let’s keep hoping.
Iwe 1-0 au 7-0 zote ni points 3.Usifananishe sisi na nyie mliopigwa 7-0
Kuna uwezekano akawepo mechi ya leoAchezi hata mazoezini ajatokea
Kuna uwezekano akawepo mechi ya leo
Kwa mtazamo wangu saliba aliyetoka majeruhi ni bora zaidi ya robby holding mzimaNope, hii sio mechi ya kumjaribu mchezaji anayetoka kwenye injury