Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mac Allister kuchukua WC kumempa confidence naona yuko relaxed na anacheza vizuri kuliko kawaida
 
hamis77

Ulitabiri vizuri kwamba united atagombea europa ila ukasahau Spurs ndiye anatakiwa kuhakikisha hilo. Spurs ni vyura
Hiyo kazi nilimpa kitambo tu Brighton ,Spurs Ni wapuuzi, muda mrefu tu wangeshakuwa nafasi ya 4 , manjesta angekuwa anafait kucheza Europa

Habari mbaya huenda wakamkosa rashford muda mrefu, had mechi za mwisho watakuwa katikati ya kugombea Europa au UCL
 
Brighton akikaza vzr anaingia top 4 ,

Beautiful football

Wanakosa Quality tu, Kuna mechi Kama 3 hivi wangekuwa wameshinda ila wakasare ,leo tungekuwa tunazungumza wapo top 4
 
Mbebe tuu mmepiga mpira sana mwaka huu
 
Can you tell the future brother?
 
Nakubaliana na wewe YES malengo yalikuwa ni kwenda CHAMPIONS LEAGUE
na tumequalify tayari ,but kwa sasa EPL ni lazima sababu hakuna excuse uongoze season nzima then umalize second place,tukitoa draw Anfield na Etihad itakuwa ni jambo kubwa la kwenda kuwa EPL winners licha pia tukishinda itakuwa ni jambo la maana zaidi but sio kufungwa game zote 2,tunaelekea mwisho let's wait!
 
Midtable team player uyo
Mimi nakuambia huyo ni mentality tuu ikibadilishwa ajiamini Kuna yule gnabri kabla hajauzwa niliona Kuna kitu anacho siku anauzwa niliumia Sana na baadae akaenda kufanyamakubwa Bayern kwahio wakati mwingine mwalimu anatakiwa kujaribu huenda akpata mtu sahihi bila kutumia mapaundi mengi akati mtu unaye

Naamini kijana anaweza
 
"Malengo msimu huu ilikuwa kucheza UCL , Kushindania mataji Ni msimu ujao"

Nyie ni One season wonder,
Hamna tofauti yoyote na Leicester City ya 2015/2016 ambao walifanikiwa kubeba Epl.
Mkishindwa kuchukua msimu huu ndio msahau kabisa kuhusu kuchukua Epl.
Msimu ujao mnaenda kupoteana, hata hio UCL yenyewe mnaenda kutolewa kwenye group stage na kurudi zenu Europa.
Habari mbaya zaidi kwenu hizo mechi za Epl zilizo salia hakuna hata mechi moja City anayoenda kupoteza.


#Arsenyo Kondoo
#Haaland kiatu
#Mancity Champion 2022/2023
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…