Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Huyo Rob holding huwa simwamin sawa na yule Chambers cjui yuko wapi ck hz
 
Mkuu km huyo T.A.A alikimbizwa na mshusha sox kweli ataweza mziki wa Martinell, yule mtoto utafikir kafungwa mota miguun anavyoteleza
Martinell huwa anamkimbiza Sana , mechi ya mwisho Emirates ,kabla Klopp alibwata Sana alipoambiwa TAA sio mzuri defensively , ile mechi inaanza tu Goli linapatikana upande wa TAA , ile mechi tulipata 2 goals upande wa TAA, akamtoa haraka .
 
Kuna uwezekano Saliba akawepo

Tuna majeruhi wawili Nketiah & Saliba


Arteta akizungumzia Hali ya majeruhi


"Tuna matumaini na mmoja wao, kesho labda anaweza kufanya mazoezi. Itabidi tuone. Sitakuambia! [NI NANI]."

Mikel Arteta anasema hakuna habari mpya za majeruhi ukitoa(Saliba,Nketiah na Elneny) lakini anasema mchezaji ambaye hajatajwa jina anaweza kuwa sawa Kuivaa Liverpool wikendi hii.
 
Arteta on the match at Anfield:

"First of all, it’s a different group, we're coming from a different position [to previous games] & what I see is enthusiasm, positivity...& courage. Courage to play, impose yourself on the game & be dominant. Sunday we'll try to be that team."
 
Kocha kasema Tufurahi

“We do enjoy it, we have to enjoy it and we really need to embrace the moment and go for it.”

Mikel Arteta on the title race
 
Vipigo tu tumeambulia..tena vizito
Liverpool wanaenda kukutana na Arsenal yenye ubora zaidi kuliko game ya Kwanza ikiwa na nidhamu zaidi kwa matokea ya hivi karibuni pamoja na kuwa na wachezaji muhimu kwenye safu zote

Saliba kukosekana ni pigo ila kwa mfumo wa Arteta timu inacheza kwa umoja hivyo uwepo wa Zinchenko utaondoa pressure kubwa kwenye safu ya ulinzi..

Partey kucheza nyuma zaidi kumlinda holding ni kitu ambacho tumekishuhudia kwa michezo 3 Sina wasiwasi

Zinchenko uwepo wake utaifanya Liverpool ichezee kwa kuvizia mfano Mzuri tuliona Man City walivyomtumia Stones ku invert zaidi ambapo city wali win Sana,hivyo uwepo wa zinchenko utatupa ubora kutengeneza mashambulizi

City kumtumia Alvarez ku drop ili ku link na wenzake kuliifanya safu ya ulinzi ya Liverpool kupoteana the same way kwa Arteta akiamua kumtumia Jesus katika safu ya ushambuliaji..namuonajesus akianza mbele ya Trossard

Liverpool midfielder zone Yao ilikuwa inashindwa ku link na winger zao kabisa katika game yao na city hivyo sitarajii kumuona Liverpool katika ubora wa kiungo kuishinda ARSENAL..

Ingawa Liverpool wanakuwa Bora Sana kwenye counter ila tegemeo lao huwa Ni fullbacks TAA na ROBERTSON ...Hawa watacheza chini mbele ya SAKA na MARTINEL

NIDHAMU ya kucheza game za away inatubeba Sana tukijizolea point 34 kuliko hata city wanaemuita bingwa.. Wanaosema Liverpool ana rekodi nzuri home wakumbuke Arsenal inaongoza Kushinda game za ugenini pia

Naipa Arsenal ushindi


Liverpool 1-3 Arsenal

#COYG
 
Nilikuwa napitia Social media mbalimbali , mashabiki wengi hasa manjesta wamekaa wanatuombea mabaya wakiwa wanatembea na fixtures yetu wanadai Ni ngumu Sana hatuwezi kutoboa

Huenda tukishinda kesho tutarajie kusikia wengi wakifa kwa presha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…