Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Najua mlipenda sana kukutana na sisi next stage ila Mungu kawapenda zaidi


Poleni tutaonana next season.

Ramsdale jana usiku akijaribu kuzuia penalty
View attachment 2554764
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Muda huu hamis77 analichungulia hili jukwaa hivi
View attachment 2555420
😂😂😂😂😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣https://media.tenor.com/vjnEDddwf0AAAAAM/lel-teeth.gif
😂😂
 
Watu mna roho mbaya...Arsenal katolewa na Hamsemi daaah🤣🤣🤣

 
Muoneshe na yule m**nga anaitwa hamis77 . Wewe computerarsenal una akili kubwa kwenye ukweli unasema waziwazi.
Miongoni mwa mashabiki wachache wa Arsenal wanaojielewa na wasiopenda unafki ni computerarsenal
Huyu jamaa timu ikiwa vizuri anasifia na kupongeza, na pale wachezaji au kocha wakizingua hua anawachana live, hanaga kurembaremba maneno timu ikifanya upuuzi.
Hongera sana computerarsenal mashabiki wa timu kubwa zote duniani wanakukubali, yaani kama kungekua na tuzo zozote zinazotolewa kwa ajili ya mashabiki bora hakika ungejinyakulia medani za kutosha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…