Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Tuna imani na EPL aseno number moja milele

Kwaiyo Arsenal haina uwezo wa kupambania makombe mawili ndani ya msimu mmoja ?
 
Inawezekana tukaenda mikono mitupu this season hili ndilo lililokuwa trophy
ya uhakika Acha nikeshe tu kwa uchungu mzito sana
Nyie mnasema tunachezaga mpira wa ujanja ujanja tulishawaambia hapa kama ni rahisi kucheza mpira wa ujanja ujanja chezeni hata msimu mmoja tu mbebe hata ueropa.

cheki kilicho wakuta sasa tuonane mwakani tu nyie ni sawa na yanga nzuri kwenye ligi kimataifa bado sana komaeni kwanza hapo Epl.

Namsipo jiangalia hata EPL mtakosa najua mnajua mnakimbizana na nani mkaze kweli kweli.
 
Arteta aliidharau sporting na wamemfunza adabu pumbavu zake, game ya kwanza ilitosha kabisa kuingia robo fainali laiti kama angepanga full mkoko.
Tulieni nyie sio kila muda mnakuja kutupigia kelele kule kuwa ten hag muoga kikosi kile kile kila siku.

hafu tubebe haka kakombe mje mseme tumefunga timu rahisi rahisi.
 
Vieira physical yake bado

Jorg jana alikua anajificha hataki kupokea mipira kabisa

Arteta inabidi ajipange sana kwa ajili ya knockout games kama hizi misimu mitatu hii tunatolewa hapohapo Emirates
 
Squad selection jana alifeli Arteta

Saka anahitaji mtu ule upande wake unaona kabisa Reiss hatoshi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…