Tuna kazi ya kuongeza goal difference aisee. Sasa tumeshindwa magoli kama 5-6 na City. Ingekuwa tumepinguza mpaka 3 au hata 2 ingekuwa poa sana Ili mbeleni tusiwe na wasiwasi wa kumaliza Kwa points sawa na City
Pressure ya mashabiki, mashabiki safari hii Wana mzuka sana na Team yao hadi wachezaji wanakuwa wanacheza kwa hofu pindi wanapokuwa Emirates
kwa kuhofia kuwaangusha Washabiki ambao wanashangwe mwanzo mwisho bila kujali matokeo lakini pia kama hiyo haitoshi wanakuwa na hofu na kuwaumiza moyo mashabiki wanaolipa viingilio vikubwa kuliko Team zote EPL