Oxlade-Chamberlain
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 8,635
- 2,209
yaani hii Arsenal tatizo ni mabeki....hatuna kabisa watu pale nyuma....huwa wanacheza vzr kwenye game za kukamia......3-1...Hatuna uwezo wa kusaka hata sare.....Upuuzi mtupu.....
Beki ya Wenger hio mkuu nakujifanya mbishi kuto sajili january ndio kimemponza.