Tuliaza mshono,, sisi tulisha kupigaga hizooArsenal kumbe ndo inavyouma hivi mbona mkusema mapema tuandae roho za simba.View attachment 2538523
Achana na hawa Arsenane, Bora yenu nyie hamjawahi kupigwa 8 mwananguArsenal kumbe ndo inavyouma hivi mbona mkusema mapema tuandae roho za simba.View attachment 2538523
8-2=6-0... sasa wao wamekula 7 bila majibu. Hata hesabu ndogo shida?!Arsenal kumbe ndo inavyouma hivi mbona mkusema mapema tuandae roho za simba.View attachment 2538523
ARV anapepeseka kwa kizunguzungu huko alikoYule wa kuitwa ARV atapita kweli huku?
Hara ukifatilia interview zake nyingi anajikutaga mwamba sana.Huyu ETH ana mdomo Sana ,tulienda OT pale Kiungo Lokonga , akatufunga kwa kaunta tu ,na sio kwamba alifanya total dominance
Ila aliongea shombo Sana View attachment 2538613
Kombe lenyewe bayaaaaaa, utadhani pipa bhanaMambo tunayotaka kuyaona Congratulations View attachment 2538403
Afande unavizia hakuna wa kukujibu unatype unakimbiaNyie matakataka na sisi tutawapasua bao Saba
Ni ujinga au ni kitu gani hiki..Yaani zikiongezwa dakika 6 maana yake ni 6:59???? Mmesoma wapi nyie watoto wa asenane?Jifunze na sheria za mpira ili usiwe shabiki 'maandazi', kwenye dakika za nyongeza sheria inasema dakika zinazoonekana kwenye ubao wa fourth official ni minimum minutes to be played.
Mfano zikiongezwa 6mins maana yake ukomo ni 6:59 ila refa anaweza kumaliza anytime after 6th minute pia especially km hakuna potential/advantage yoyote kwny mechi inayoweza patikana kama vile kunapokuwa na margin kubwa kwny scoresheet eg. 3-0, 2-0 nk.
Kichaa ww na timu yenu mbovu mmepigwa saba alaf unatoa visababu vya chekechea. Ungepamban kam ww mwanaume, hahaha ten umepigwa wakat sahihi mna mdomo san nyieKITU PEKEE TUNASHUKURU HATUJAFIKIA RECORD HII..8!!!!!!!
KWA HIYO JINA LENU asenane LITAENDELEA KUBAKI VILEVILE.View attachment 2538877
We Kenge ulikuwa wapi?!Nyie matakataka na sisi tutawapasua bao Saba
Kujifariji huwa kunapunguza stress angalau...KITU PEKEE TUNASHUKURU HATUJAFIKIA RECORD HII..8!!!!!!!
KWA HIYO JINA LENU asenane LITAENDELEA KUBAKI VILEVILE.View attachment 2538877
Vip ban ushapigwa ?Leo Arsenal hatoboi, ushindi wake ni sare, akishinda nipigwe ban.
moderator ni nani asisikie kilio chako sasaLeo Bournemouth tuna jambo letu, hawa kima wakishinda naomba moderator anipige ban japo wiki.