allypipi
JF-Expert Member
- May 10, 2020
- 3,322
- 10,887
Hafu matokeo mechi ikaishaje? na lengo la kwenda uwanjani ni kusaka nini?Hivi kumbe kwa Mara ya kwanza ktk maisha yake ya ukocha Pep Guardiola... Alimiliki mpira kwa 36% tu pale Emirates?
Hafu matokeo mechi ikaishaje? na lengo la kwenda uwanjani ni kusaka nini?Hivi kumbe kwa Mara ya kwanza ktk maisha yake ya ukocha Pep Guardiola... Alimiliki mpira kwa 36% tu pale Emirates?
Leta msimamo , sisi tunaangalia zaidi progress ya timu inatoka wapi inaenda wapi hatuangalii matokeo tuHafu matokeo mechi ikaishaje? na lengo la kwenda uwanjani ni kusaka nini?
Sawa mkuu. Ahsante kwa ufafanuziNaandika hapa kwa mara ya mwisho.
4 3 3 false 9 inahitaji wachezaji sahihi kwa sasa Arsenal hatuna CF wa kufit hapo zaidi ya Jesus, Nketiah hawezi anafaa kwenye 4 2 3 1. Bila Jesus 4 3 3 inatufanya tuwe dominant ila siyo constant threat.
Idea ya kumuweka Trossard au Martinelli kama CF ni sahihi kwakua hawa wawili wanalink up play vizuri kuliko Nketiah.
Hua mnatumia nini ili kuelewa?
" Manchester City hawatarudia kuwauzia Arsenal Wachezaji, Zinchenko kuuzwa Arsenal ilikuwa ni biashara ya kirafiki baina ya Pep Guardiola na Mikel Arteta!Usishangae akianza kuandika fixtures za pre- season na next season 😄😄😄Njoo uongeze list...hizo tushamaliza![]()
Zinny kwenye hii picha alikuwa na options kibao za pasi daaah. Angemuona Martinelli na kumpa reverse pass, kuna Ode sijui hapo kati karibu na Saka, kuna mtu free kule namba 11...hiyo pass Kwa Saka tena inaonekana ndiyo ilikuwa pass ngumu Kwa sababu ya positions za mabeki ila ndiyo hivyo tena.....KambaaaaaAchana na Gabriel Jesus nitajie false9 Bora kama Trossard.
Against Leicester City alifanya ufundi uliopitiliza anauwezo wa ku swept to the left halafu Martinelli anasogea Kati Banga! Kambaaaaa..
hapa opposition defenders wanashindwa marking na inakuwa rahisi kuwaadhibu.View attachment 2536338
Its Next Impossible...My Guy EsR is there to conquerArsenal willing to let ESR go at end of the season.
Haiwezekani kabisa hilarious kutokea Kwa sasaArsenal willing to let ESR go at end of the season.
Sijajua kwa nin mawazo yangu yalikuwa sana kwa caicedo kuliko yalivo kwa rice, nahisi itakuwa mahaba tuThus why Arsenal inajiamini kwenye mbio za kumnasa Declan Rice
Official: Moises Caicedo has signed new deal with Brighton valid until June 2027 with an option for further season#BHAFC
It will include a significant pay rise for Caicedo.
Brighton have turned down £55m from Chelsea and £70m from Arsenal last January.
Mchezaji kusaini mkataba ni formalities tu na haimaanishi hataki kuhama. Usupumbazwe na hili. Caecedo kasaini mktaba ili awe kwenye safe side. Inaweza kuwa terms mpya za mkataba zinamnufaisha yeye akiendelea kuwa Brighton au akiuzwa. Huo ndio mpango kamili. For me Caicedo ni mzuri kuliko D RiceSijajua kwa nin mawazo yangu yalikuwa sana kwa caicedo kuliko yalivo kwa rice, nahisi itakuwa mahaba tu
CF sio striker wala no. 9. Huwa watu wanaconfuse sana. CF ni kiungo mshambuliaji anawewalisha mipira striker au wingas. Hii ndio maana halisi ya center forward. Hii inafaa zaidi kumuita CAMNaandika hapa kwa mara ya mwisho.
4 3 3 false 9 inahitaji wachezaji sahihi kwa sasa Arsenal hatuna CF wa kufit hapo zaidi ya Jesus, Nketiah hawezi anafaa kwenye 4 2 3 1. Bila Jesus 4 3 3 inatufanya tuwe dominant ila siyo constant threat.
Idea ya kumuweka Trossard au Martinelli kama CF ni sahihi kwakua hawa wawili wanalink up play vizuri kuliko Nketiah.
Hua mnatumia nini ili kuelewa?
kabisa aseeee caicedo kwangu ni bora zaidi ya riceMchezaji kusaini mkataba ni formalities tu na haimaanishi hataki kuhama. Usupumbazwe na hili. Caecedo kasaini mktaba ili awe kwenye safe side. Inaweza kuwa terms mpya za mkataba zinamnufaisha yeye akiendelea kuwa Brighton au akiuzwa. Huo ndio mpango kamili. For me Caicedo ni mzuri kuliko D Rice
Lakini tambua tayari ni ngumu kumtoa hapoMchezaji kusaini mkataba ni formalities tu na haimaanishi hataki kuhama. Usupumbazwe na hili. Caecedo kasaini mktaba ili awe kwenye safe side. Inaweza kuwa terms mpya za mkataba zinamnufaisha yeye akiendelea kuwa Brighton au akiuzwa. Huo ndio mpango kamili. For me Caicedo ni mzuri kuliko D Rice
Overview yake hii hapaZinny kwenye hii picha alikuwa na options kibao za pasi daaah. Angemuona Martinelli na kumpa reverse pass, kuna Ode sijui hapo kati karibu na Saka, kuna mtu free kule namba 11...hiyo pass Kwa Saka tena inaonekana ndiyo ilikuwa pass ngumu Kwa sababu ya positions za mabeki ila ndiyo hivyo tena.....Kambaaaaa
Huyu mjinga huyu kama Douglas Luiz tu, angetulia akalinda kiwango summer tungeweza rudi ila ndo atazeekea hapo kama Richarlison.ILA WACHEZAJI SIO WAKUWAAMINI ,ALILIA HADI KUANDIKA MITANDAONI LEO KASAINI MKATABA MPYA
𝐎𝐅𝐅𝐈𝐂𝐈𝐀𝐋 | Moisés Caicedo has signed a new long-term contract with Brighton until 2027. There is also an option to extend for an additional year.
Wachezaji wote wazuri, wachanga kama Caicedo ni wagumu kumtoa lazima ukavunje benki wacheni ubahili ndugu. Hizi timu kama Brighton ubingwa wao na trophoies zao ni kununua wachezaji na kuwauza kwa bei nzuri. Mchezo unaochezwa kwa Caicedo ndio huo. Kumpa Caicedo mkataba mpya na motisha nzuri ni kama kumpoza ili acheze kwa moyo maana aliashavunjika moyo kuzuiliwa kwenda Arsenal au Chelsea ambapo aliamini kule angebeba makombe, angelipwa vizuri na jina lake lingepaa zaidi. Hata Enzo walikuwa wanajiandaa kumfanyia hivyo hivyo kama asingeuzwa wangempa mshahara bora zaidi na mkataba wenye motisha zaidi. Mimi sioni kama Caicedo au Brighton wamefanya kitu kipya hapo. Mkimtaka Caicedo Summer mtamchukua tu ila sio kwa bei rahisi kihivyoLakini tambua tayari ni ngumu kumtoa hapo
Kama January hii walimbania kuondoka , na Sasa kajitia kitanzi ,sio rahisi kuuzwa kwa hivi karibuni
Nimeona taarifa nyingi timu zimeanza kupigana vikumbo kwa Rice , maana Bellingham haieleweki anaenda Madrid au Liverpool wataweza kumpata
Ebwana eeh hii ndiyo najua hapa kwamba CF ni AM.CF sio striker wala no. 9. Huwa watu wanaconfuse sana. CF ni kiungo mshambuliaji anawewalisha mipira striker au wingas. Hii ndio maana halisi ya center forward. Hii inafaa zaidi kumuita CAM