Chatta g
JF-Expert Member
- Oct 28, 2018
- 612
- 985
Kwani hiyo yenu sio historiaa,,kuna watu wapo walio shuhudia au kusikia wakati huo kam ilivyo sasa imebaki ni historia.Unaongelea kitu hujaona Wala hukuwepo hadi ukafukue makaburi google hiyo haiumi ila ukiongelea mambo uliyoyaona na kuyashuhudia yanawaumiza sana
So tuliwapiga mkatupiga it means tulipigana.



