Mpira ni mbinu na akili. Arteta ile siku alizidiwa akili, mkubali au mkatae.
Sawa basi, Martinelli alifunga ni 3 - 2 nani anabaki na points 3?
Umeona jinsi gani Arsenyani mnashangilia vitu vitu vya kijinga, eti possession!!!
Watu tunaangalia ushindi tu, hayo mengine ni ya timu ndogo kama Arsenal.