Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Leicester City boss Brendan Rodgers says Arsenal have β€˜outstanding’ player on the bench.

"When you have got the likes of Kieran Tierney on the bench, who is an outstanding player, because of Zinchenko starting, it shows you the quality of the squad.’ [Metro]
 
Wee hiyo Barcelona yako Haina maajabu hata kidogo,kwa kile kikosi Chao hivi unadhani watu uwezo wa kuifunga Arsenal?
Acha kulialia, watu wanaifunga Barcelona na wako kimya wewe unaifunga Leicester unaandika kwa capital bold letters!!! Ujinga utaacha lini? hamis77
 
Will Jr tafadhali njomba.
 
Hii picha , Leicester walifanya kaunta ,ndani ya sekunde 3 ,Arsenal wakawa wapo 10 ,hii Kama timu yako Ina wazee huwezi kufanya

Kiernan Dewsbury Hall Kiungo wa Leicester anasema: "Wachezaji wote wa Arsenal wanafanya bidii kwa kila mmoja, ndiyo sababu wako juu ya ligi. Mara kadhaa tulikuwa kwenye kaunta na tukitazama juu tunaona tu bahari nyekundu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…