Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Screenshot_20230218_153830_All%20Goals.jpg
 
Jamani tupunguzeni posts ambazo pia zinatufanya tuonekane vijana wa hovyo, najuwa mpira unaambatana na utani ila sio huu. Nikijaga kwenye jf platform ya sport uwa najiuliza iweje JF mods waliacha jukwaa hili lijiendesha lenyewe bila kufata sheria za JF kwa ujumla? Guys tufike pahala kabla ya ku-type na kupost tujiulize sisi ni akinanani katika jamii? Lakini tuzingatie tunachokiandika mtandaoni kinaishi miaka yote na tutakutana nacho pindi tushazeeka na tutajiona hovyo katika jamii ya wakati huo.
Malezi, malezi, malezi......
 
Back
Top Bottom