Binafsi nadhani ni muda sasa kocha aanze kufanya rotation ya kikosi, timu pinzani wameshatujulia maana wachezaji ni walewale tu kila mechi
Toa White weka Tomiyasu aanze
Toa Martinelli Trossard aanze au kama vipi Nketiah apishe pale kati Martinelli acheze hapo
Si tunasema tuna Versatile players? Ndio muda huu tuone iyo versatility la sivyo tutakuja kutukanana humu sio muda mrefu