Arsenal (The Gunners) | Special Thread

angalia vizuri position ya refa na mshika kibendera kama wangeweza kuona lile tukio usilaumu tu

inamna mkuu kwenye replay ujaona umbali wa ule mpira na kichwa cha vidic kihasi cha kwamba kujua kwamba mshika kibendera kaona hakuna kitu kingine kingeweza kugusa ule mpira zaidi ya mkono wa Vidic?


sio issue kubwa manake ni kawaida siku hizi goaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaal
 
Yehuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu!
 
Good goal

Arses now you need to start believing that you can do without fabregas!!

Mtoto kafanya kweli
 
Sisi wazembe sana. mtu wanamuona van persie anaenda hata kumsaidia. Arshavin ndio kaamua asimame kabisa anamuangalia badala na yeye kukimbia nae kwenda kuwachanganya mabeki na kumuongezea options.
 
Sisi wazembe sana. mtu wanamuona van persie anaenda hata kumsaidia. Arshavin ndio kaamua asimame kabisa anamuangalia badala na yeye kukimbia nae kwenda kuwachanganya mabeki na kumuongezea options.

Something ought to be done...the fighting spirit is not there....Viva Arsenal
 
kwa game hii MAN UTD MESSI atawachomeka nyingi!.. maana one-two zao ni zaidi ya za arsenal..
 
Ebouee wanini saa hizi Wenger, ungemuacha walcott awakimbize hawa. wanatafuta goli sasa hivi ni rahisi kuwakamata kwenye counter attack .


Eboue huwa nae mtu wa magoko i hope hata leta ujinga kule golini kwetu.
 
Ebouee wanini saa hizi Wenger, ungemuacha walcott awakimbize hawa. wanatafuta goli sasa hivi ni rahisi kuwakamata kwenye counter attack .


Eboue huwa nae mtu wa magoko i hope hata leta ujinga kule golini kwetu.

muache waga ana bahati zake....sometimes ni ngumu kumuelewa Wenger
 
Ghafla mbele tumeanza kuwa wachovu tunasubiri united wasawazishe ndio tuanze kuangaika tena badala kupiga la pili tuwe katika nafasi nzuri zaidi ya ushindi atleast.
 
Arshavin ana nyata bila sababu mpaka united wanajipanga, inakera sana kutafuta kujidondosha bila sababu wakati marefa hawatabiriki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…