inamna mkuu kwenye replay ujaona umbali wa ule mpira na kichwa cha vidic kihasi cha kwamba kujua kwamba mshika kibendera kaona hakuna kitu kingine kingeweza kugusa ule mpira zaidi ya mkono wa Vidic?
sio issue kubwa manake ni kawaida siku hizi goaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaal
Sisi wazembe sana. mtu wanamuona van persie anaenda hata kumsaidia. Arshavin ndio kaamua asimame kabisa anamuangalia badala na yeye kukimbia nae kwenda kuwachanganya mabeki na kumuongezea options.
Sisi wazembe sana. mtu wanamuona van persie anaenda hata kumsaidia. Arshavin ndio kaamua asimame kabisa anamuangalia badala na yeye kukimbia nae kwenda kuwachanganya mabeki na kumuongezea options.
Ghafla mbele tumeanza kuwa wachovu tunasubiri united wasawazishe ndio tuanze kuangaika tena badala kupiga la pili tuwe katika nafasi nzuri zaidi ya ushindi atleast.