Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kumkosa Caicedo ilikuwa ni set back kubwa kuliko Mudryk, guess what tungempata Caicedo basi nxt season tungeweka priority ya kumsajili Declan Rice. So midfield yetu ingekuwa na Rice X caicedo. Hii ni dawa ya mitishamba kwa wajinga km Sean Dyche wanaotegemea physical game, low block & set pices. Caicedo X Rice nawapenda cuz wanacheza very clean game, don't misplace passes, don't dispossess, they win duels, they're so secured technically.
 
Si mmempata Jorginho?? Kelele za nini tena
 
Ndo kusema game za makocha wenye mbinu hizi zinaweza kutusumbua sana,
 
Wale tunaojua historia ya ligi wala hatushangai ass-anal kuanza kupkea vipigo pindi mzunguko wa pili unapoanza.
Hofu yetu sisi City ndio atatupatia wakati mgumu kuchukua taji msimu huu na wala sio washika manati wa London.
 
Kuna jamaa humu alimfananisha THE BUTCHER (jitu la kazi chafu) na madumu ya taka mawili yanayosimama mbele ya Ramsdale. Niliwaambia Arsenal haitafika mahali kwa wachezaji wa mafungu.



The Butcher na Champions League Varane wanaendelea kutoa darasa kwa mabeki uchwara wote.
 
On majinga haya..yani classy ya Jorginho unalinganisha na huyo mrugaruga?? Huyu bingwa wa ECL unamlinganisha na huyo hajawahi kushinda chochote toka dunia imeumbwa.
Hizi ndio shida za kufatilia mpira umesha zeeka. Wala sikushangai kwa ulicho kiandika. Kukariri kwingi
 
Lengo letu msimu huu ni kushinda ligi, Spurs wana kauli mbiu yao wanasema "To dare is to do" so let's go again tomorrow. #Coys.
Pumbaf ,wakichukua ubingwa muwe nyie ? , Umelogwa wewe ,Mkuchika ubingwa naharisha Tanzania mpaka Dubai
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…