Nikimuona shabiki wa Arsenal analalamika na mshangaa na hajui tuliyo yapitia.Huu mpira na hii ndio ligi ya Uingereza, kwangu tupo vizuri cha msingi kujipanga kwa mechi ijayo.
On majinga haya..yani classy ya Jorginho unalinganisha na huyo mrugaruga?? Huyu bingwa wa ECL unamlinganisha na huyo hajawahi kushinda chochote toka dunia imeumbwa.
On majinga haya..yani classy ya Jorginho unalinganisha na huyo mrugaruga?? Huyu bingwa wa ECL unamlinganisha na huyo hajawahi kushinda chochote toka dunia imeumbwa.