Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Nikimuona shabiki wa Arsenal analalamika na mshangaa na hajui tuliyo yapitia.Huu mpira na hii ndio ligi ya Uingereza, kwangu tupo vizuri cha msingi kujipanga kwa mechi ijayo.
 
jorginho anafaa kucheza timu kama Valencia, Ac.milan espanyol sio class moja au substitute ya partey
On majinga haya..yani classy ya Jorginho unalinganisha na huyo mrugaruga?? Huyu bingwa wa ECL unamlinganisha na huyo hajawahi kushinda chochote toka dunia imeumbwa.
 
Kwani Conte Ana Nini mpaka asiwepo kesho ama kashapigwa kalamu?
Hapa ndiyo tunahitaji great xcter than ever.

City will stop at nothing. Spurs kesho haitakua na kocha wake.

You can guess
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…