Arsenal (The Gunners) | Special Thread

we usijisifu sana na litim lako la academy ya ustaafu na penshen pale amna ki2
 
Palace kazi ni moja kufanya blocks,nakupga pasi za mwisho kwa Olise na Zaha. Ana kitu sema kwa Arsenal hii huwezi kukiona na anaweza kushine timu nyingine mkuu.
 
Kila nikimuangalia Sabitzer hua nnajikuta nabubujikwa machozi ya furaha kwa kumbukizi ya yale magoli ya free kicks za Jurninho Pernambucano wa Lyon ya kipindi kile wanasumbua kwenye ligi kuu ya Ufaransa miaka 7 mfululizo.
HAHAH DAAH!
Chozi la Furaha hahahaha.
 
Kila nikimuangalia Sabitzer hua nnajikuta nabubujikwa machozi ya furaha kwa kumbukizi ya yale magoli ya free kicks za Jurninho Pernambucano wa Lyon ya kipindi kile wanasumbua kwenye ligi kuu ya Ufaransa miaka 7 mfululizo.
Hahaaaa nimecheka had nimepaliwa

Mashabiki wa man u mnaongea Sana jamani
 
Hahaaaa nimecheka had nimepaliwa

Mashabiki wa man u mnaongea Sana jamani
Yaani hatari sana, wapinzani wetu watajuta kwa nini Ericksen ameumia, maana huyu Sanitizer(Sabitzer) ni sawa na Ericksen watatu, yaani hapa nlipo natamani hata ligi irudiwe tuanze upya.
 
Sio kwamba mbaya kiasi hicho, ujue Arteta aliwasajili hao na Hawa kina ode, Tomiyasu,white, n.k kwa ajili ya kucement mfumo au style play ya timu, bahati mbaya project imeenda Kasi Sana ,na imemuacha ,kwa Sasa hatuwez kumsubiri Tena

Hata Hawa wanaojifanya walisema lokonga mbaya ndio hao hao waliponda na Sajili nyingine za Arteta,

80% ya aliowaleta Arteta kwa long term wameimarika ,

Lokonga pamoja na matatizo yake yote angalia mech Zote akiwepo huwa mpira tunamilik vzr tu, Hata mechi ya Kwanza pale OT,

Lakini tunamuhukumu sababu anacheza nafasi sio sahihi kwake , yeye sio DM

Hii ilimkuta XHAKA pia , anachezeshwa DM akawa mchomaji na mpata red ,
 
Yaani hatari sana, wapinzani wetu watajuta kwa nini Ericksen ameumia, maana huyu Sanitizer(Sabitzer) ni sawa na Ericksen watatu, yaana hapa nlipo natamani hata ligi irudiwe ianze upya.
Man u domestic cups(kala bao and mwana FA)
ARSNAL (LIGI AND YUROPA)
 
THE ATHLETIC WANASEMA KUNA KILA DALILI MAHUSIHANO YA ARSENAL NA BRIGHTON YAMEVUNJIKA

Waliposema HAUZWI ,Arsenal wakafanya Dharau wakatuma ofa ya 2

Relationship between Brighton & Arsenal,has been damaged. Brighton were left irritated and perplexed after the 2nd bid as they felt Arsenal did not get the message that the player is not for sale.

 
Tatizo lenu nyinyi hua mnadharau na kupenda kulianyau sana.
Mwanzo kabisa mnapeleka offer yenu ya eftatu, Brighton waliwakatalia na kuwaambia kua hawana mpango wa kumuuza, na endapo wakiamua kumuuza haitakua chini ya £80m.
Hamjakaa sawa eti mnapeleka offer nyingine ya eftatu mia tano kama sio dharau ni nini?
Trossard mmepewa kwa bei ya hisani baada ya kutofautiana na kocha wake, laiti mngekua wastaarabu mngewapa tu hio £80m mkamaliza biashara.
Ule ujinga uliofanyika kwenye offer Mudryck ndio ujinga huohuo mmeurudia tena kwenye offer ya Caicedo.
 
We boya hujui kitu na huelewi.. yani upo upo tu, ni kuzurura huku na huko ukimwaga pumba!

Pumba* kabisa!
 
We boya hujui kitu na huelewi.. yani upo upo tu, ni kuzurura huku na huko ukimwaga pumba!

Pumba* kabisa!

Acheni dharau Kima nyie, mnasababisha mpaka timu zinaamua kuvunja mahusiano ya kidiplomasia kutokana na dharau zenu.
 
Mkuu,
Hivi ulisoma kwamba Brighton waliweka wazi kuwa dogo hauzwi? Mtu akishasema hatuuzi hata uje na 100m atakuuzia?

Sema nyie mpo hapa kubishana na kuonyeshana nani zaidi kati ya Manure na Arsenal.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…