Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kweli kabisa
Mkuu hizi ni short term plan...! Arteta anaangalia kila uwezekano wa kuendelea kubakia katika mbio za ubingwa, kwahiyo kwenye shida anajaribu kuziba kwa wakati

Ndio alichokifata kwa Trossard baada ya kumkosa janjaro aliekimbilia Chelsea, na sasa baada ya kuhisi kumkosa Moises ameona bora aangalie mchezaji ambae atakuja kuleta impact ya moja kwa moja kwenye timu

Mimi kama Arsenal fan nitafurahi tukimpata jamaa maana ataongeza kitu katika first eleven kama atapata namba na pia ataleta hali ya kujiamini kama ilivo kwa Zinny na Jesus maana jamaa ni winner

Kama atakuja nahisi atapewa mkataba wa miaka 2 maana najua hawezi kukubali mwaka mmoja, lakini pia kwa mkataba wa miaka miwili inakuwa ni nzuri zaidi kwake lakini pia kwa team
 
Since kitambo Arteta na Pep wamekuwa wakimuhitaji sana

Kama unakumbuka alitakiwa awe kwa Pep

Kuna fans wapo tayari tubaki na lokonga halafu tugombee EPL na Europa

Caicedo wamekaza kumuachia
Yeah Pep alimtaka, Sarri akapita nae.

Hapa Chelsea ni kama wanataka kupata faida maana summer anaondoka bure, na mpk sasa hakuna dalili ya kuongezewa mkataba.

Mkileta hata 20M itakuwa sio mbaya japo nitaumia.
 
Jorginho, Tielemans and Onana are options for Arsenal if their pursuit for Moises Caicedo fails. Arsenal are still considering to make a third bid for the Ecuadorian. Reports, @SamiMokbel81_DM.
 
Mkuu hizi ni short term plan...! Arteta anaangalia kila uwezekano wa kuendelea kubakia katika mbio za ubingwa, kwahiyo kwenye shida anajaribu kuziba kwa wakati

Ndio alichokifata kwa Trossard baada ya kumkosa janjaro aliekimbilia Chelsea, na sasa baada ya kuhisi kumkosa Moises ameona bora aangalie mchezaji ambae atakuja kuleta impact ya moja kwa moja kwenye timu

Mimi kama Arsenal fan nitafurahi tukimpata jamaa maana ataongeza kitu katika first eleven kama atapata namba na pia ataleta hali ya kujiamini kama ilivo kwa Zinny na Jesus maana jamaa ni winner

Kama atakuja nahisi atapewa mkataba wa miaka 2 maana najua hawezi kukubali mwaka mmoja, lakini pia kwa mkataba wa miaka miwili inakuwa ni nzuri zaidi kwake lakini pia kwa team
Ni mashabiki wachache wenye akili Kama zako,

Most wapo tayari tubaki na lokonga ambaye Juzi alitaka kupigwa Vibao na Odegaard kwa kushindwa kufanya positioning Zaidi ya Mara kadhaa hata goli kimfumo lilifungwa sababu yake

Sasa ukiangalia fans wanavyomuandama Gorginho utagundua wanafata upepo was mashabiki wa Chelsea ,

Lakini wanavyocheza Chelsea tofauti na Arsenal

Hi ni mara ya 2 Arteta anamtaka Gorginho ,pia akiwa city walimuhitaji na Pep

Ni risk kubwa kwenda Round ya 2 na DM mmoja Partey ,

Lokonga walishamkataa kuwa sio DM , anachezaga hapo ikitokea Partey na Elneny hawapo
 
Mikel Arteta, understood to be fan of Jorginho and appreciating his skills — this is why is a concrete name for the final hours for Arsenal. #AFC

…but Chelsea want significant fee to let him leave now
 
Arsenal are pushing hard to strengthen the midfield area on #DeadlineDay. Arsenal remain ready to do a deal for Moises Caicedo if Brighton change their "not for sale" stance. #AFC

(via @SkySportsNews)
 
Back
Top Bottom