Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Pamoja na kuwa tunamtaka Caicedo, itachukua muda kupata mtu wa aina ya Partey. Tom, pamoja na janga lake la majeruhi, ni kiungo aliyekamilika. Ana uwezo Mkubwa wa mpira.

Ana uwezo wa kudictate midfield na kucheza kama anavyotaka yeye, na ana akili kubwa na utulivu anapokuwa na mpira.

Tom ana kitu tunachokiita Defensive Discipline, anajua wapi nipite na mpira na anajua wapi nipitishe mpira badala ya kwenda nao. Anajua wakati timu pinzani imekuja juu, kwamba afanye nini kurudisha mpira uwe katika hali ya kawaida.

Ana uwezo wa kupiga mashuti, na ana uwezo Mkubwa wa kupiga pasi. Anajua hii pasi sikupi wewe kwa sababu Fulani, Nampa Fulani kwa sababu Fulani...yaani haachii pasi ovyo.

Kwa neno moja tunasema ana High Maturity.

 
Gabriel Martinelli amesaini mkataba mpya wa miaka minne na nusu wa kuendelea kubaki Arsenal.

Mkataba wake wa mwisho ulibaki mpaka 2024 huku Arsenal wakiwa na chaguo la miaka miwili mingine.

Mkataba mpya upo kwenye hatua za mwisho za kukamilika na Martinelli atabaki Arsenal mpaka majira ya joto ya 2027.
 
Mbona Caicedo ni direct replacement ya Partey, naposema direct naomba nieleweke.

Ila wengi mnamisplofile Caicedo, bado namuona km LCM, acheze role ya Wijnaldum liverpool nyuma akiwa a tall guy Fabinho, ni kama Caicedo nyuma akiwepo a tall guy Declan Rice.
 
| Arteta on if he hopes to be busy before the end of the transfer window:

“We’ve been pretty active in the market. We have some necessities and if something else is available, the club is willing to try to do it when it’s reasonable.” [@arsenal] #afc
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…