Arsenal (The Gunners) | Special Thread

WTF.... hamjamaliza kwenye top 2 in five years...? Alafu manataka mspring kwenye championship? GTFOH!
On a serious note nawaonea Arsenal fans huruma maana duh walikuwa wanaonekana kama timu yao imeshuka daraja, I said it and I will say it again mechi ya Bolton na Stoke ni very dodgy

Tangu mmefungwa na Birmingham mmeshinda mechi mbili kati ya kumi FACT!!
Kikulacho kinguni mwako FACT
Chenga twawala hazileti ubingwa FACT
Wacha1 atalalamikia bahasha na marefa na Man Utd FACT
 
mkuu sometimes weka ushabiki pembeni... tuna beki mbovu... umaliziaji butu.. pasi nyingiii.. game plan ya wenger imepitwa na wakati

Mkuu ukiangalia statistics Arsenal wana defence nzuri kuliko Manure sasa hapa sijui unaongea nini? Data zipo kaangalie, you guys mnaangalia haya mambo kijuu juu sana bila kufanya tathmini kiundani unless hufahamu what is happening within the football game.


Wacha1 bwana mara beki mbovu! mara Ferg katoa bahasha! Sasa sijui lipi la kweli. Au beki wa arsenal nao wamepewa bahasha?

Mkuu hizo ni facts sasa kama hutaki shauri yako. Nafikiri wengi hawaelewi sports in general how is run and how manipulative it can be through the media etc. Why Wenger wanamwandama 'cause he is the most succesful manager and not British or Scottish


Mkuu Arsenal is a major club and watchout timu zote kama Mafioso etc wanafahamu Arsene amefanya nini na wanatamani pesa zinazopatikana kama wangekuwa wao just watch down the line. khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Nimeshasema sibadilishi jina mpaka Wenger aondoke, sijampinga kama kocha wetu, ni kwamba mda umefika afanye mabadiriko au abadirishwe yeye.

Board najua wako nae kutokana na mahesabu sema fans sasa watapata nguvu sasa hivi ya kuhimiza mabadiriko.


nimekusoma tata muraaa!!
 
umetumia statistics zipi kuja nahuo mstari wa mwisho ?



Wenger hayuko serious na anapenda kuchukua risk zisizokuwa na maana. Alijua tunaitaji beki january lakini alipuuza.
 


hahaaaaa beki yenu inatisha sana...ndo bekiimara kuliko zote duniani na statistics zinaionyesha hivo...
 

Tatizo kubwa la Arsenal ni kocha/meneja...AW ni kichwa ngumu,nitashangaa kama ataendelea kubaki Arsenal...

Matatizo yetu ni haya.....

1.Hatuna kipa,tunahitaji kipa wa aina ya Edwin Van de Sar,Pepe Reina ama Peter Cech....Hawa tulionao hawastahili hata kucheza kwenye timu ya vijana,mara kumi hata tungekuwa na Shabani Kado lakini si hawa vilaza.

2.Hatuna beki,tangu kuumia kwa Thomas Vermaelen tatizo la beki limeonekana dhahiri,angekuwepo Thomas angalau matatizo yangepungua,tunahitaji beki mwningine ambaye atasaidiana na Verma na Djourou.....Squillaci na Kosch waondoke...Pia Sagna, Clichy ,Gibbs na Eboue nao wamezembea sana

3.Katikati/kiungo hakuna tatizo kubwa sana wanacheza vizuri sema kuna kipindi wanaboronga sana hasa anapochezeshwa Diaby,huyu Diaby inabidi aondoke mara moja..Tunao wachezaji wazuri sana wa kiungo Nasri,Song,Wilshire,Ramsey(akirudi kwenye form ni mzuri sana) na Fabregas

4.Safu ya ushambuliaji ndio butu kabisa,tunaye mshambuliaji mmoja tu,RVP na kwa mbaaali Theo,hao wengine wote akina Chamakh,Bendtner,Rosicky,Arshavin n.k imefika wakati wa kuwapa mkono wa kwa heri,waondoke

Mwisho kabisa tunahitaji kumfukuzia mbali AW ili tuondokane na tabia iliyojengeka ya kuwasajili wachezaji wa bei nafuu na walegevu toka Ligue 1

Bala.
 


yaaani hiyo ya stoke watake wasitake wanakalia kigoda
 
Nimeshasema sibadilishi jina mpaka Wenger aondoke, sijampinga kama kocha wetu, ni kwamba mda umefika afanye mabadiriko au abadirishwe yeye.

Board najua wako nae kutokana na mahesabu sema fans sasa watapata nguvu sasa hivi ya kuhimiza mabadiriko.

Ukweli ni kwamba hata mimi nikilina jina lako napata kichefuchefu(sory to say this) maana SIMPENDI AW na sitaki hata kumuona...

Ukiweza naomba ubadilishe jina lako hilo unalotumia hapa JF mkuu...

Natanguliza shukrani zangu za dhati.....
 


khaaa...pole mkuu wangu ...analysis yako imenifurahisha sana...matatizo yamejulikana sasa twende dodoma tukavuane magamba
 
 
 
Ukweli ni kwamba hata mimi nikilina jina lako napata kichefuchefu(sory to say this) maana SIMPENDI AW na sitaki hata kumuona...

Ukiweza naomba ubadilishe jina lako hilo unalotumia hapa JF mkuu...

Natanguliza shukrani zangu za dhati.....

Mkuu naelewa maneno yako lakini jina langu la JF linaendana na kocha atakaekuwepo Arsenal wakati uliopolol. Yani hapo sawa sawa na kuniambia ni mkane baba yangu kwa vile mlevi lol.
 
umetumia statistics zipi kuja nahuo mstari wa mwisho ?



Wenger hayuko serious na anapenda kuchukua risk zisizokuwa na maana. Alijua tunaitaji beki january lakini alipuuza.

Mkuu hizo stats ni za EPL mwaka huu so far ..... ..... ....... ......
 


Acha kupiga uongo kama kawaida yako! Wewe ndio haujaangalia stats kabla ya kupost huo upupu hapo. Arsenal ni ya nne kwa kufungwa magoli machache kwenye ligi, Chelsea iko juu with 27 goals, Man Citeh magoli 30, Man United magoli 32, na Arsenal magoli 36.
 
 
Sasa unataka tulalamike kabla matokeo ya mechi?


Ebu nendeni kwenye pasaka tuacheni hapa mara tunamkutano wazarula.

............... pasi nyingiii.. game plan ya wenger imepitwa na wakati

..................
Chenga twawala hazileti ubingwa FACT
.....................

Thats what i'm talking about...........na zaidi mkishinda mechi moja au mbili mnamsahau kabisa Babu yenu Wenger..........
 
Wacha1 stats zinasema
Arsenal : 34 (goals conceded)** 12 (clean sheets)**
Man Utd 32 (goals conceded) 15 (clean sheets)

**Kabla ya mechi ya Arsenal na Bolton
 
Reactions: Nzi
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…