Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hawa wanatafuta ahueni maana Timu zao papatupapatu kibao

Pamoja na kuingia lokonga ,Bado city hakuwa Bora Kama.alivyozoea miaka iliyopita

Ila Haw

Hawa wanatafuta ahueni maana Timu zao papatupapatu kibao

Pamoja na kuingia lokonga ,Bado city hakuwa Bora Kama.alivyozoea miaka iliyopita

Ila Hawa jamaa wanaleta ushabiki wapoze machungu maana jumapili tuliwafanyia msako wa nyani .
Hata mechi ya jana tungeweza kushinda just angeanza odegaard na zinchenko. Nawaona city wakipoteza mechi ijayo na spurs
 
Naona umekuwa mganga
 
Moises Caicedo kwa jicho la kimpira huyu ni mrithi wa Xhaka wala si mrithi wa Partey. Kama atasajiliwa mmoja kati ya Zubimendi / Declan Rice kwenye dirisha la kiangaxi basi anaenda kuwa mrithi wa Partey. Caicedo amecheza na Bissouma msimu jana hivyo inaonekana wazi alitumika km 8. Nahisi ikiwa atasajiliwa Arsenal basi atacover #6 kwa miezi sita iliyobaki. Na km Rice / Zubimendi atakuja Arsenal next summer naona Caicedo akipanda kucheza nafasi ya #8.
 
Hawa wanatafuta ahueni maana Timu zao papatupapatu kibao

Pamoja na kuingia lokonga ,Bado city hakuwa Bora Kama.alivyozoea miaka iliyopita

Ila Hawa jamaa wanaleta ushabiki wapoze machungu maana jumapili tuliwafanyia msako wa nyani .
Mpira ndivo ulivyo kuna kipindi City inafungwa na Southampton kwa umiliki wa mpira 76%na City inafungwa,City ilitolewa na Real Madrid kwenye nusu fainali wakati City wamepiga mwingi adi umiliki wa mpira city alikuwa juu sana, lakini Madrid kamwondoa,hata mwaka jana Asenal mlisema hivyo baada ya kufungwa 2-1 kama mchezaji asingelipata nyekundu City asingelitoboa,Mwaka kafunga mkiwa kamili bado mnasema City hajacheza mpira,kifunga sio ukamilike kila kitu ndio uonekane unajua.Asenal Sasahivi ni kibonde kwa City kibali kataa tokea 2015 Asenal haijawai kichua point kwa city
 
Naomba na ninyi mpate majeruhi kama sisi muachage kuwabeza walio wodini

Haya ebu mtuambie Partey anarudi lini au baada ya MRI Scan
Nasikia inaweza kwenda hadi Jul 2023
Arteta aliliona hili ndio maana anataka kumuuza Lukonga na Moises Caicedo sasa anaitaka Chelsea tu
 

Dua la kuku Hilo ,aliumia mbavu tu, Sasa hiyo Jul 2023 umeitoa wapi,sisi hatutegemei mchezaji, mmoja ,mlianza kwa Jesus ,

Arsenal Ni mfumo ,
 
Nasikia tayari huko brighton wanataka euro 100m kwa caicedo!
EXCL: Moises Caicedo didn’t turn up for training today — he wants leave immediately. Caicedo could also miss tomorrow’s game.
#BHAFC

Understand Arsenal are expected to improve their bid, after £60m revealed yesterday. #AFC

Chelsea offered £55m — rejected too. #CFC
 
Sasa Brighton wameweka bei ya Moises Caicedo ya Paundi mil 90
Habari zenu Gunners and The Blues. Fainali ndio kwanza inaanza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…