Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

City wameingiza full mkoko

Holding na Tierney ndio weak spot yetu kwa kupelekewa presha
Aliesema Tierney anaweza akasepa ikija offer now ndio nimemuelewa

Fabio viera huyu dogo ni mwepesi sana, kama kweli potential anayo basi anahitaji msimu mzima apikwe kwanza

Veira out
Martinel/odegard in

Tierney out
Zinchenko in
City wame win kutu-preshalaiz, tunahitaji mtu wa kuweka mpira chini ku control game

Holding out
Saliba in
 
Huyu dada mla mayai ana mdomo mchafu sana, muda wote yeye mitusi inamtoka tu, mashabiki kama hawa ndio wanaoifanya Arsenal ionekane ni timu ya vijana wa hovyohovyo waliokosa malezi.
Kwani katokea wapi uyo? Sio kenge wa darajani?
 
Yan kadi ya njano ya holding imenifanya nimetukana sana, anachofanya ndo kile kile alifanya dhidi ya Tottenham last season, kukamia mechi kupita kiasi
Holding anatumia sana mikono kukaba kama mcheza rugby. Hana hadhi ya kucheza arsenal.
 
Back
Top Bottom