Hii michezo ya kuhijack ,Chelsea ndio mmeileta EPLAnother holly hijack:
Danjuma to Tottenham Hotspurs - Confirmed
Nawe umekomaa tu sio rahisi sio rahisi kwani kuna mtu amesema ni rahisi?????Acha tu waniite mamluki ila me naongea ukweli, points 8 Kwa pep ni ndogo sana labda kama aendelee kusua sua kama mwanzo
Mfano game ya leo tungesuruhu zilikuwa zibaki point 3 na mchezo mmoja mkononi, tufanye huo mchezo tungeshinda zimekuwa points 6
Sasa unamzidi points 6 pep ambaye bado una game nae home and away, na wote tunajua ukweli ni kwamba city uwezo wa kutupiga anao, kwahiyo kama akishinda hizo game 2 ingekuwa tuna level points
Kama shabiki wa Arsenal nataka sana kubeba hii ndoo ila haitokuwa rahisi hivi kama ambavyo tunataka kujifariji, pep kama kocha mzoefu kuliko wetu na wachezaji wake Wazoefu kuliko wetu
Kuanzia game ya tote city ni kama vile wameamka Fulani hivi na ikitokea waka maintain consistency kuanzia hapa hadi mwisho sio ajabu wao wanaweza, swali je nasie tunaweza?
Tunaweza kucheza under pressure kila game bila kupoteza focus yetu? Tunaweza kumantain hii form hadi mwisho? Tunaweza kuendelea kuwa na focus ata kama ikitokea tukapoteza game kadhaa?
Ukweli ni kwamba haiwezi kuwa rahisi ila kwakuwa hatujafika hapa kwa bahati mbaya basi batuna budi kukomaa tu hadi game ya mwisho, ila ukweli utabaki kuwa sio rahisi kama ambavyo tunataka kuaminishana
Hawa wajinga waliwai tuibia mikel obi wakati tumeshamvalisha na jezi uhuni na chelsea ni mapacha.Hii michezo ya kuhijack ,Chelsea ndio mmeileta EPL
Danjuma alikuwa atambulishwe Everton
Sema hapa alikua anatabasamu mashabiki wanaimba jina la Tielemans kumuona Emirates Next Week alf ishu kama imekufa ivyo kimya kimya
Anakuja free summerSema hapa alikua anatabasamu mashabiki wanaimba jina la Tielemans kumuona Emirates Next Week alf ishu kama imekufa ivyo kimya kimya
Kwa Arsenal tunavyocheza ,hasa msimu huu ...tunamuhitaji Sana ZinchenkoKwangu Mimi bada naona Tomiyasu ndio namba mbili wetu bora na Tierney namba tatu wetu bora. Zinchenko namuona kama midfielder zaidi na ana perfome vizur Kama tukiwa tunashambulia, Kama tunashambuliwa awi mzuri sana kwenye kudefend kama namba tatu so ukiachana na mambo ya technical kimajukumu ya namba tatu Tierney yuko mile ahead kwa zinchenko hayo n mawazo yangu,
White ile perfomce yake msimu ulio pita bado unambeba lakn sijaona Kama amemzid sana Tomiyasu, kilichomshusha Tomiyasu n yale majeruhi
Overall natamani beki zibak kama zilivo asiondoke ata mmoja quality na kikosi kipana ni muhimu sana,