Arsenal (The Gunners) | Special Thread

We jamaa sijui kama huwa unafkiria vizuri kabla ya kuandika.
Naanza kuwa na wasiwasi na uwezo wako wa kufikiri.
 
Kwani mshahara ndio profile, wewe unajua market value ya Caicedo?
Kwa profile aliyo jenga Caicedo sio timu goigoi ndiyo itaenda pale. Mark my word. Posa tu ya yule lazima uende na personality na profile kubwa.
Caicedo Sidhan Kama kafikia profile ya Declan rice

Kwamba Caicedo ,Tukimuhitaji atatudengulia?
 
KWANINI ARSENAL INAMUHITAJI IVAN FRESNEDA BEKI WA KULIA?


Arsenal wanamtaka Fresneda licha ya uwepo wa White, Tomiyasu na kipaji kinachokuja kwa kasi Brooks Norton-Cuffy.



Kwa maoni yangu ni kuwa ukimuangalia Zinchenko au Rico Lewis wa man city utapata jibu. Nafikir Arteta anapenda kucheza na inverted full back mmoja kama sio left back ni right back.

Ben White, Tomiyasu na Brooks hawawezi kucheza hiyo role vizuri. Fresneda anaonekana atamudu vizuri hiyo role.

Kwa maoni yangu, Sion Tierney akibaki msimu ujao. Ujio wa Kiwior na Tomiyasu kuweza kucheza left back ni tishio kwa maisha ya Tierney pale arsenal
 
Arsenal are in the lookout for a right-back and a midfielder. If Cédric leaves, a move for a right-back will happen. In midfield, they’re exploring options. Reports,


@FabrizioRomano on @podcastherewego.
 
Comparisons with Roberto Carlos at 8-years-old
Played alongside Sambi at Anderlecht
Discovered by same scout who found Milan Skriniar
Once cost just €10k
Tracked by Arsenal since last summer

This is JAKUB KIWIOR

@TheAthleticFC
️ #AFC
 
Nyie matakataka naona mkamuosheya manjestaa 😂😂😂
Nyie tambeni tu wakati wenu umefika na unakaribiya wa kulia na kusaga meno
 
Thierry Henry akizungumzia kiwango cha Man Utd dhidi ya Arsenal: “Tuliona timu ikiwa na miaka mitatu ya maendeleo dhidi ya timu yenye miezi sita ya maendeleo, pia timu yenye mapumziko ya wiki moja dhidi ya timu yenye mapumziko ya siku mbili, lakini United bado walicheza kwa kupishana( toe- to- toe) na Arsenal ambayo kwangu ilinishangaza ..Siitaki kumdharau Sir Alex Ferguson, lakini kama Erik ten Hag atapata anacho kitaka akiwa United, watacheza soka la kuvutia zaidi kuliko walivyocheza chini ya Sir Alex.”

Sio mimi maneno ya legend wenu msianze kunikaanga hapa.
 
Kila mtu ashinde tu game zake, mwambie hivyo,, kwan tushamzoea kuropoka kwake,, nakumbuka huyu aliishawah kutoa mbov kuhusu xhaka

Bladifuckeni Henry

Yeye ni legend tu, atuachie timu yetu
 
Lete source

Najua hayo ni maneno ya De Gea
 
Hivyo ndiyo Arsenal walivo, wanakupa credit when you deserve it and that's called respect and fairness unlike your so called legend Garry Neville na mashabiki wengine mna ego ya kishamba sana.
It's true Ten Hag kaitransform timu na mko vizuri hilo halipingiki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…