Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Martinelli toka atoke world cup naona kapoa, sioni siku hizi kumchukua beki, kumpakia.

Mudryk ulikuwa ni usajili mzuri.

Yote kwa yote point 3 zilikuwa muhimu
Kuna makosa mengi nadhani mwalimu kaona.

Partey zile goli 2 ni maboko yake.
Mbele kwenye umaliziaji kuna utoto utoto tumeufanya, ilipaswa iwe zaidi ya 3
 
Sorry nilizani Man.

Ila kuhusu kujiamini hapo nakataa brother msimu huu Arsenal wanajiamini mnoo,bila hivyo leo tusingekuwa hapa. Kuna timu za kuwa na wasiwasi nazo ila sio Man Utd,ukiniambia City sawa hawa pamoja na misimu ya nyuma Arsenal ilikuwa ya kawaida ila walikuwa hawatoki Emirates So MAN HANA TIMU YA KUMTISHA ARSENAL HANA.
 
Mkuu uliona vile Zinny anacheza? Kuna mchezaji mwingine yoyote aliekuwa anakaribia confidence yake?

Pamoja na uwezo wa partey ambao kila mmoja wetu anaujua Umeona maboko aliyokuwa anayatoa leo?

Umeona kosa alilofanya Ramsdale katika goli la 2? Umeona Martinel alivokuwa anacheza Leo?

Wachezaji wetu wengi leo wamecheza chini ya kiwango kutokana na umuhimu wa game, walikuwa na pressure kuliko game ingine

Inawezekana leo ndio waliambiwa mbio za ubingwa zinaanza rasmi, ila Zinny ye kazoea miaka yote kukimbizana na Liverpool pale juu kwahiyo hana pressure kabisa

Na kuna uwezekano kama Zinny nayeye asingekuwepo hii game ingekuwa ngumu zaidi maana yeye ndio alikuwa anawaambia wenzie kuwa hawa wanakufa msiwe na mapepe

Pep saiz ndio ameanza ligi rasmi kwahiyo lazima tuwe na calmness na determination ya hali juu sana, huu ndio muda ambao Jesus alihitajika sana uwanjani
 
Zinny na Partey misimu mitatu ya nyuma kabisa acha na wa mwaka jana na mwaka huu Arsenal tunampiga Man si walikuwa hawapo na Man akagongwa hapo.

Mimi swala la kuniambia eti tumepoteza confedence mechi ya leo na kataa ,Man leo walikuwa anapigwa nyingi two deflection zile za Erikisen plus mpira alio ucheza Degea ana kwa ana na Nkentiah.

Ukiniambia eti leo tulikuwa tunacheza vibaya na hautujiamini na KATAAA BROTHER mpira mcheza wa wazi,game tumeidominate mwanzo mwisho na hasa dk 30 za mwisho ndio ilikwa nusu uwanja.

Kuna timu za kuipa hofu Arsena ila sio MAN MIMI NAKATAA MANA HANA TIMU YA KUIPA ARSENAL HOFU HANA.

Timu ambazo Arsenal alikuwa anapata tabu kuzifunga ilikuwa City na Liverpool na walikuwa wanatubamiza kweli.

Ila huyu Man huyu msimu wa tano Emirates hajawai toka ,halafu uniambie timu ipoteze confidence kwa timu amabayo anaifunga misimu mitano mfululizo.

MIMI NAKATAA HAMNA KITU KAMA HICHO.
 
Hivi imewezekanaje

Arsenal vs manchester united all rounds tayari.

Manchester united vs manchester city all rounds tayari

Kwanini mpaka leo city vs arsenal mjakutana hata mechi moja wakuu?

Sio mbaya acha niandae popcorn zangu izo mechi uzuri nyie wote tushamalizana sina habari na nyie tena na baki kuwacheki tu mtavyouana.
 

Trosard anamuweka bench
 
Si mnatoka nao mtaa mmoja mngewaambia mechi ya leo mbadilishane baadala yenu wangecheza wao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…