Arsenal (The Gunners) | Special Thread

"Hasa wachezaji watatu wa mbele" kuna mijitu inahoja za hovyo sana. Arsenal kuwa kileleni inawauma sana sana, matokeo yake wanaanza kutafuta sababu, bladifakeni!
Na ikitokea tumebeba league kuna watu watasema tumebeba league kwa sababu ya majeruhi ya Liverpool na disintegration kwenye vilabu vya chelsea na man city.kwa man u na new castle watasema project bado haija mature
 
Usireason kwa vibe mkuu, andika fax, klopp anajua wazi attackers are the most important players on the field, they win you matches. Kwa timu isiyo na depth yetu au liverpool hata Spurs Kuna quality huwezi kureplace kirahisi wakati msimu unaendelea, mfano Saka & Martinelli, OR Kane / kulusevski, klopp knows best, umuhimu wa Diaz kwa liverpool ni sawa na Saka / Nelli. Sijajua amekosea wapi kudefend his team paka mnakuwa reactionary kiasi hicho.
 
😂😂😂 hakuna bahati.
 
Trossard bado anacho cha kudeliver kwa umri wake
 
Naona hakawii na mpira anatoa pass chap chap ila huko wanamwachia uwanja mzima aisee. Premier League jamaa si atakuwa pressed mpaka ajute kuja?
I think scout imemuangalia katika nyanja zote , kikos chetu hatuna beki anayepiga long balls kwa usahihi kwa Saka na martinell

Arteta aliwahi zungumzia hili jambo mwaka jana, tunatakiwa kuwa complex , kuna muda tunatuma long ball kwa saka au martinell na timu mara moja inakuwa ipo golini kwa mpinzani
 
Jakub Kiwior

Balaa kwa long balls

Hizo longballs so poa saka jesus martinnel na trossard watapokea pass nying san toka kwa hiki kiumbe....WOW WOW mabeki wapembeni wa timu pinzani wakae mkao wa kula....kuna beki moja white hiv ipo crystal palace nayo ni shida game ya kwanza ben white alitaabika san kukaba sabb kila pasi ilikuwa inafika kwa winga wa palace aliomba maji sasa nass tumepata huyu
 
Yule wa crystal Palace ni Andersen aisee hafai kabisa. Nilivyomuona nikataka aje kwetu acheze mbele ya centre backs wetu na nyuma ya Partey na Xhaka au Ode.
 
CAPTAIN FANTASTIC

Odegaard -

"....Siku tuliyopoteza Old Trafford tulidhibiti sehemu kubwa ya mchezo na tulistahili matokeo bora zaidi .Safari hii tunataka kuonyesha nidhamu zaidi, kudhibiti(kutawala) mchezo kwa dakika 90. Utakuwa mchezo mgumu lakini tuko tayari na tunajiamini"

"Tumerudi nyumbani(EMIRATES) pia, na hali ya hewa(atmosphere) inaleta mabadiliko makubwa kwetu tena. Tunajua jinsi uwanja utakavyokuwa, hakika itakuwa ya hali nzuri, na nina uhakika nyote(mashabiki) mnaweza kutusaidia sana, kutupa nguvu na kuinua timu tena."
 
Naaam hatuendi kinyonge.moja ya vitu vinanifurahusha sio arsenal kushinda mechi tu bali namna wapinzani wetu wanavyokuja kwa nidhamu na tahadhari ya hali ya juu.hii tahadhari kuna muda inawapunguzia efficiency offensively uwanjani na wanajikuta wana defensive mindset na hivyo tunapumua.
Hakuna raha kama kushindana na mtu anayekuogopa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…