Kwa msimu huu city ni wabovu compare miaka miwili ya nyuma, wachezaji wako axausted akiwemo Kelvin De Bruyne na wenzake. Hii haitaji hata kuielezea sana, matokeo na uchezaji wao unaonekana. Na mwanzoni pia nilitahadharisha dependecy walioweka kwa mfungaji mmoja ambaye ni Haaland utakuwa na madhara sana kwa City kwa sababu
- asipokuwa kwenye form,
- akienda majeruhi au
- wenzake wakigoma kumpa ushirikiano,
timu imekufa. Ndicho kinachotokea taratibu sana
City ataendela kupoteza mechi moja moja na au kutoa sare kitu ambacho itaendelea kuwapa ninyi Arsenal advantage.
Mimi nabashiri hata Man u au Newcastle wanaweza kumpiku city kwenye second position, hadi tufike March, City atakuwa kwenye 3 au 4. Take my word IMO