Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Fresneda ni nani tena huyo?
Beki no.2 miaka 18 , Timu kibao zimeweka kambi zinamuhitaji

Juventus

Madrid

Newcastle

Chelsea (Kwa mbali)

Arsenal

Referrence

Arsenal have all but sealed the transfer of Fresneda. Arteta personally called the player & convinced him. Remains to be seen if he joins immediately or is loaned back. Arsenal took advantage of Madrid stalling as Ancelloti had doubts

(@eldesmarque)

Arsenal want to make an offer for Fresneda before next week and try to get him in this season itself

(@PucelaNews_1928 )
 
Fabrizio Romano anasema tunamtaka Fresneda na kiungo mwezi huu, baada ya kumpata Trossard.

Tielemans amekuwa kiungo pekee tuliyehusishwa nae sana, mkataba wake upo mwishoni ,amebakiza miezi 6 tu, hivyo inaweza kuwa fursa nyingine ya biashara.

Arsenal watakuwa wakiangalia zaidi kuboresha namba 8 ya Xhaka ,huku dili la Rice likitarajiwa msimu wa joto.
 
Beki no.2 miaka 18 , Timu kibao zimeweka kambi zinamuhitaji

Juventus

Madrid

Newcastle

Chelsea (Kwa mbali)

Arsenal

Referrence

Arsenal have all but sealed the transfer of Fresneda. Arteta personally called the player & convinced him. Remains to be seen if he joins immediately or is loaned back. Arsenal took advantage of Madrid stalling as Ancelloti had doubts

(@eldesmarque)

Arsenal want to make an offer for Fresneda before next week and try to get him in this season itself

(@PucelaNews_1928 )
Gunners mnaonaje hili wazo la kumchukua huyu dog (japo simjui)? RB si tuna Tomi na White? Au ni Kwa sababu huenda tukamtoa Cedric? Nimesoma mahali huku kwamba maeneo ya shida ziadi ni winger/forward, ambapo tumepata trossard , mbadala mwingine wa Partey na mbadala mwingine wa Gabriel. Sikuwahi kusoma kama RB na LB ni position za shida kwetu.
 
Gunners mnaonaje hili wazo la kumchukua huyu dog (japo simjui)? RB si tuna Tomi na White? Au ni Kwa sababu huenda tukamtoa Cedric? Nimesoma mahali huku kwamba maeneo ya shida ziadi ni winger/forward, ambapo tumepata trossard , mbadala mwingine wa Partey na mbadala mwingine wa Gabriel. Sikuwahi kusoma kama RB na LB ni position za shida kwetu.
Naona tunaongeza depth maeneo yote, next season tuwe na vikos viwili vyenye quality

LB hatuna tatizo , maana Yupo Zinny ,KT na Tomiyasu,

RB yupo white ila inaonesha Tomiyasu huenda akahamishwa LB mazima, so ndio maana wanaongeza RB anayeweza kupandisha mashambulizi zaidi .

Kuna tetesi tutaongeza kiungo mmoja pia

Tusubiri tuone
 
Aaron Arsenal , White ni kipaji kimoja cha hali ya juu na kazi chafu anaiweza. Sijui kwa nini Waingereza wanamchukulia poa ?
Ile timu sijui Southgate ana akili za wapi, angalia mechi na ufaransa, Saka kashamu win Hernandez ,yeye anamtoa

Ben white ndio maana aliamua kusepa kambini, bado wanawachukulia poa wachezaji kutoka Arsenal
 
Trossard ukim compare na forward line yetu msimu huu ,
IMG_20230120_133833.jpg
 
Mashabiki wa Chelsea wanaamini watakua on fire kwakua wana Felix, Madueke na Mudryk.

Lakini ni juzi tu walikua wanaamini watakua on fire kwakua kuna Werner, Ziyech na Havertz.

Kwa kipindi hichi ambacho Felix, Madueke na Mudryk wanajiunga Chelsea nani ana magoli kumfikia Werner wakati anajiunga Chelsea?

So hapa wanajifurahisha tu but these guys sooner or later will learn
 
Mashabiki wa Chelsea wanaamini watakua on fire kwakua wana Felix, Madueke na Mudryk.

Lakini ni juzi tu walikua wanaamini watakua on fire kwakua kuna Werner, Ziyech na Havertz.

Kwa kipindi hichi ambacho Felix, Madueke na Mudryk wanajiunga Chelsea nani ana magoli kumfikia Werner wakati anajiunga Chelsea?

So hapa wanajifurahisha tu but these guys sooner or later will learn
Tumeona transition za vilabu mbali mbali, club kama Man City wakati Gurdiola anachukua team, Jurgen Klopp akiichukua Liverpool. Lakini hii ya Chelsea imekuwa ghafla sana "We shall see". Chelsea
sioni kama ina "identity". Mr. Todd Boehly ana hisa pia kwenye timu ya L.A kwenye NBA.
Akina Neville hao na kocha wa England geti la kusini wanamchukia. Angekuwa unyumbuni sasa. Unaona promo la Shaw?
Naona pia wanavyomfagilia Bissaka
 
Back
Top Bottom