juan david
JF-Expert Member
- Jan 23, 2013
- 3,952
- 5,438
Summer hatutoitaji usajil mkubwa sana itakuwa mid labda na kipaNimeona aise, nyie jamaa mmeshindikana
Kingine wachezaj hawa hawa watakuwa na mda wa kuzoeana.
Summer tutakuwa busy kuuza tu


Summer hatutoitaji usajil mkubwa sana itakuwa mid labda na kipaNimeona aise, nyie jamaa mmeshindikana


Kabisa. Na deal la Mudryk limeipatia Arsena fundishoKina fabrizio wamepewa taarifa leo, Arsenal walitaka kuepuka vurugu za chelsea
Trossard to Arsenal 98% deal done
Mnawalisha watu maneno
Arsenal naipenda sana tangu enzi za Arsene Wenga kwa sababu ya good football ila wanaoichafua Arsenal ni mashabiki ambao sio wastaharabu kabisa. Na ndio maana ningependa Arsenal ibebe EPL mwaka huu
Kusema City ni wabovu hayo ni mawazo mgando , hujamjua vizuri Pep hakika.Arsenal naipenda sana tangu enzi za Arsene Wenga kwa sababu ya good football ila wanaoichafua Arsenal ni mashabiki ambao sio wastaharabu kabisa. Na ndio maana ningependa Arsenal ibebe EPL mwaka huu
Mkishindwa mtaendelea kulitamani kwenye picha tu. City ni wabovu, Liver ndio hovyo kabisa, Chalsea ndio hiyo kwanza ujenzi uko kwenye lenta, contenders mwaka huu ni Newwcastle. Bahati yenu hiyo msiachie iende bure
Leandro Trossard since the start of last season:Dah! Watu hawamfahamu Trossard! Inashangaza sana!!!!
️
️
️
️
️
️
️
️
️

Sagna:Kwa msimu huu city ni wabovu compare miaka miwili ya nyuma, wachezaji wako axausted akiwemo Kelvin De Bruyne na wenzake. Hii haitaji hata kuielezea sana, matokeo na uchezaji wao unaonekana. Na mwanzoni pia nilitahadharisha dependecy walioweka kwa mfungaji mmoja ambaye ni Haaland utakuwa na madhara sana kwa City kwa sababuKusema City ni wabovu hayo ni mawazo mgando , hujamjua vizuri Pep hakika.
Unataka ashinde mkuu?Goli la kizembe City anapigwa.
EBHANA NI NOMACity anapigwa la pili
Msim huu msipochukua hii league itabidi mchapwe fimbo.Kapigwa la 2
Wanacheza na mtani wa jadi
Achawapigwe hivi unajua woman united wametukamia sana uwenda wakatufunga kwaiyo ni bora tu city apigwe maana ndiye tunayemuogopa.Kapigwa la 2
Wanacheza na mtani wa jadi