Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Sisi tumekuwa tukishinda mechi zetu bills huyo Mudryk na tutaendelea kushinda bila yeye.
Hivi Sasa tunajiandaa kuchukua points zingine 3 kutoka kwa Manyumbu siku ya Jumapili.
 
Mwaka nne hujawahi kupata hata droo Emirates,wewe jiandae kupasuka.
 
Sisi tumekuwa tukishinda mechi zetu bills huyo Mudryk na tutaendelea kushinda bila yeye.
Hivi Sasa tunajiandaa kuchukua points zingine 3 kutoka kwa Manyumbu siku ya Jumapili.
Basi achen kuteseka kw kumkosa. Mana wengine wanakwambia huko alipoenda ataflopp, eti Arse888 ndio angeshine.
 
Basi achen kuteseka kw kumkosa. Mana wengine wanakwambia huko alipoenda ataflopp, eti Arse888 ndio angeshine.
Kwnini tuteseke na mtu ambaye hata hatujaona mchezo wake kwenye EPL? Ndio kwanza amesajiliwa tu juzi hajacheza hata mechi ya kirafiki a kuonyesha uwezo wake kwanini tuumie?

We have already moved on and we're focusing on our next matches.We just don't care about him.
 
Sam Dean (Reliable kwa habari za Arsenal) kutoka Telegraph nae kathibitisha

Swali langu tu ,Chelsea hawatatufanyia fujo hapa kweli?

Rice atapatikana kwa £70m tu ,
 
[emoji599] With Granit Xhaka now 30 & Thomas Partey at the age of 29, Arsenal are hoping to strengthen & refresh their midfield in the long term. [@SamJDean] #afc
 
[emoji599] Arsenal are targeting a summer move for Declan Rice.

#AFC confident they can attract 24-yr-old #ENG midfielder.

Rice's #WHU deal expires 2024. WH insistent he will not be sold in January, but accept he'll leave this summer.

@TheAthleticFC [emoji837][emoji836]️ #AFC
 
Basi achen kuteseka kw kumkosa. Mana wengine wanakwambia huko alipoenda ataflopp, eti Arse888 ndio angeshine.
Mudryk was posting loads about Arsenal on Instagram before joining us, yet hasn’t posted a thing since signing for Chelsea. Something not right about how that all went down. Reckon he’s been told where to go and there are some politics involved.
 
'According to Sky information, Leverkusen's Moussa Diaby is a topic at Arsenal. The 23-year-old Frenchman is under contract with the Werkself until 2025, so it should be expensive.' [@SkySports Germany @Sky_Marc]View attachment 2483959
Halafu huyu mwamba kuna siku nilikuwa nacheki game, nikataka niwaulize huyu diaby vipi au nyota hana?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…