Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Chelseq now iko free haina deni lolote,

Kingine wakat team inauzwq kiliwekwa kipengele cha 1.75B kwa ajili ya uboreshaj wa kikosi + stamford bridge redevolpment + Anti glazer
 
Just remembered Man City went in for £40m Cucurella, only for Chelsea to highjack it for £62m. This shouldn’t be a surprise tbh. If Man City can get highjacked, on god so can Arsenal.


(
) The word from Arsenal is that the numbers for Mudryk were getting crazy and they weren’t prepared to get involved in a bidding war. They’ll only sign players if it makes sense financially and improves the squad.” (@David_Ornstein)
 
Hawa dawa yao ni kuwanyuka bakora nne wakija Emirates kupunguza hasira
unakumbuka hii ya 23 March 2014
Chamberlain alidaka mpira, naona hiyo ikijirudia 29 April 2023

Line up yetu itakuwa 4-2-3-1 - Majeruhi wote watakuwa fit na ninyi mnaijua Chelsea iliyotimia ilivyo haina huruma

--------------- Thuram---------------

Mudryk -------- Felix ----------- Sterling

--------Denis ------------ Kante-------

Chilwell --- Badiashile --- Silva --- James

---------------Kepa---------------


 
Duuhh

Kaka huko ulipo bado usiku nini? Huku bongo kumekucha amka usichafue mashuka ayo
 
Nketiah kakua sana, ana mpira wa kikubwa

Zile block mbili alizofanya kipa moja ingeingia basi nketiah angeweza kua man of the match

Work rate
, Jesus kambadilisha sana nketiah
Kuna tetesi nimeziona kwenye page ya Fabrizio Romano, anadai baada ya kukamilika usajili wa Mudryck muda wowote kuanzia sasa Aaron Arsenal atahama Arsenal na kuanza kushabikia The Blues.
 
Tony Adam anasema Partey ni combination ya watu wawili (Vieira & Petit) ndani ya mtu mmojaView attachment 2483051
Namhusudu saana partey.. Mie mchezaji akiwa mnyumbulifu ananivutia, kama anapiga, anafinya, anareceive mpira huku katizama adui anakujaje, akija kushoto, anaturn kulia, halafu anapiga pasi sumu.

Sijui ni kwakuwa wakati nacheza mpira ndio nilikuwa ni mpira ninaocheza.. Hata mchezaji akiwa wa hivyo naenjoy mnoo kucheza nae, mpinzani anakuja kukaba akiwa na akili timamu na tahadhari juu, chochote kinaweza kumkuta. 😂
 
Huyu jamaa nahisi kuna screenshot yake iliwahi tembea akiwakandia Arsenal msimu huo akatoa hoja laini kweli kweli.

Hawa ni watu wanasababisha sina hamu na mpira wa Tz
 
Chelsea ya Tuchel imefungwa na Arsenal, ya Lampard same, ya kabla ya Lampard.

Wakati mwingine unaangalia kitu mtu kaandika unashangaa hivi ana kumbukumbu au akilog out JF na memory inakata
 
Huyu jamaa nahisi kuna screenshot yake iliwahi tembea akiwakandia Arsenal msimu huo akatoa hoja laini kweli kweli.

Hawa ni watu wanasababisha sina hamu na mpira wa Tz
Ukitaka kujua kama bongo hakuna wachambuzi basi wazungumzie game ambayo inaenda kuchezwa, au timu imesajili, inajiandaa kwenye ligi.. Ndio utajua hatuna wachambuzi wa mpira bali wachambua mchele.
Game ikishachezwa, utasikia, transition, sijui low block, triangles.. Hapo wanazungumzia kilichotokea tena kwa ubabaishaji ubabaishaji tu.
Kiasi ambacho hata sisi tukipata nafasi tunaweza kuwa wachambuzi wazuri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…