verifaidi yuza
JF-Expert Member
- Sep 13, 2018
- 3,121
- 6,184
Kaka, sisi tunadili na mechi zetu tu hao wengine watajuana wenyewe huko mabonde kuinamaNakubaliana na wewe kwa role anayocheza Zinchenko yupo bora bora bora but weakness yake ni hyo uliyomention but unajua why season hii tupo bora?kwa 11 eleven yetu hakuna eneo lenye upungufu abadani hakuna that's why hata makosa yake hayaonekani na Spurs second half walikuja na mashambulizi upande wake karibia muda wote but wakakuta tumejipanga mpaka kwa Ramsdale boy
Next game Thursday nipo SPURS SPURS hata draw inawatosha COME ON SPURS nipigie Guardiola
Ningekuwa karibu na huyu aliyeandika huu ujinga ningemzaba vibao. "Playmaker ya utopolo haijapishana sana na Messi" Labda messi wa Manzese kwa mfuga mbwa.
Ari waliyonayo wachezaji wa Arsenal kwa sasa ni kupambania badge hayo masuala ya ubingwa yanakuja baadae kwa kucheza vizuri nakushinda kila mchezo unaofuata si kwa papatu papatu."We don't care about the other teams."
Martin Odegaard says Manchester City's result yesterday means nothing to Arsenal with their focus on the derby
Hawa jamaa na pira lao la butua butua dawa yao iko jikoni, iki kikombe kila mmoja lazima akinywe atake asitakeYani tumekaa tunamuangalia Partey, halafu kuna mbugila mmoja anaongea kuhusu casemiro..
Yani sisi tunakula birihani, yeye anatuletea ugali wa muhogo.
Nasema hivi, Partey mmoja ni sawa na maCasemiro 1000!
sababu kubwa ni ile yake ambayo hata hatujui iliishia wapiHivi kwa nini Partey alikuwa anazomewa kila anapogusa Mpira??
Huna akili tena jipige kifuani zaidi ya mara 3 mfululizo ukijipongeza ulivyo Mpumbavu.Ni mashabiki wa Chelsea tu mnaoamini kuwa Conte & Mourinho bado wana uwezo wa kusumbua dunia, kwenu kusajili wachezaji kila siku ndio solution ya kila kitu, Klopp anasema usajili hauwezi kutatua matatizo yote ya uwanjani, imagine umetumia €300m dirisha moja afu upo nafasi ya kumi. na upo hapa unapreach Conte kakosa wachezaji, like seriously spurs haina wachezaji wakushinda game za Fulham & Brighton? That's ultra nonsense.
Ipi mkuusababu kubwa ni ile yake ambayo hata hatujui iliishia wapi
Wameikataa Arse888 masikini, hivi naomba kama kuna mwenye statement ya Mudryk akisema anaipenda Arse88, au ni hii misukule ilikua inajitekenya yenyewe.Welcome to ArsenalView attachment 2481339
Matokeo ya leo na spurs unayo?Wameikataa Arse888 masikini, hivi naomba kama kuna mwenye statement ya Mudryk akisema anaipenda Arse88, au ni hii misukule ilikua inajitekenya yenyewe.
Mana kama mchezaji angekua anipenda timu angefanya kama Raphina kwenda baca.
City kwa Spurs hachomoi na uhakika Conte hatataka kudhalilishwa tena neverNa Spurs alivyo na bahati na city ,usishangae akampiga kabisa
Bentacur karudi , na city alivyo mtupu akipigiwa kaunta attack
Nakubaliana na wewe kwa asilimia elfu,but tuombe hawa viongozi wafanye usajili mzuri January hii tuna strong 11 squad but benchi ndio weak kwa goal keeper na defenders bado rotation ipo ya kutosha, kwenye mid na forward hapa ndipo panapostahili kuboreshwa for example sawa tuna Vieira sio mbaya sana na smith Row ambaye bado hayupo fit na Nelson ambaye hatabiriki ,ila nawaza replacement ya Odegaard Xhaka Martinelli Saka ni nani?sioni kwa sasacomputerarsenal msikilize alichosema Ian Wright
Love Ian Wright’s analysis on the Mudryk saga.
Says Arsenal have a set plan & so far the plan is working so well that there was no need deviating from it by paying over the odds. Also thinks paying so much in fees and wages for the player has the potential of disrupting the group
Arteta kasema Bado wapo sokonNakubaliana na wewe kwa asilimia elfu,but tuombe hawa viongozi wafanye usajili mzuri January hii tuna strong 11 squad but benchi ndio weak kwa goal keeper na defenders bado rotation ipo ya kutosha, kwenye mid na forward hapa ndipo panapostahili kuboreshwa for example sawa tuna Vieira sio mbaya sana na smith Row ambaye bado hayupo fit na Nelson ambaye hatabiriki ,ila nawaza replacement ya Odegaard Xhaka Martinelli Saka ni nani?sioni kwa sasa