Chelsea wanavizia nyie mshindwe kwanzaChelsea waingilia deal la Mudryk, i guess we will miss him,
Kwa kumtegemea Nketiah pale mbele peke yake mtafeli, labda kama kocha hana lengo la kuchukua Epl.
Hapo kwenye rotation ya wachezaji ndipo Pep hua anatupiga gape kila mwaka kwenye Epl.epl ni ngumu sana. Everton unatumia nguvu nyingi kwa City alafu anaenda kupigwa na BHA na hata Newcastle angekuwa na mechi ya ligi baada ya siku 4 angepoteza maana walivyotumika.
Ni kweli kabisa mkuu.Hapa kwenye rotation ya wachezaji ndipo Pep hua anatupiga gape kwenye Epl.
Fulana unaupiga mwingi sana.Acha kurembaremba maneno, sema tu haya makinda yetu ya Academy tayari yameshaanza kuchoka na pumzi zinakata.
Epl ni ligi ya wanaume sio ligi ya watoto wa kiume.
Hizi kima nafasi yao ya kucheza Europa msimu ujao iko palepale.
Huyu mwamba Arsenal ikiyumba anapoteaga jukwaani anaonekana tena wakati wa tetesiWapi chambuzi Aaron Arsenal wewe tunakujua unachangia pale arsenal inapo fanya vizuri tu kiufupi ni shabiki la mchongo.
hata computerarsenal kila siku anakwambia ukweli kuwa wewe ni shabiki pale timu inapopata matokeo tu.
Huyo anasubili tu watufunge man u aje vitakwimu vyake uchwala kupigia kelele hapa.Huyu mwamba Arsenal ikiyumba anapoteaga jukwaani anaonekana tena wakati wa tetesi
Aaron Arsenal huu ndo ulitakiwa uwe muda wako wa kuchambua game cha ajabu umejificha jalalani mpaka mpate ushindi ndo utaonekana hapa.
Tabia ya kuandika emoji za kuchekacheka ni tabia ya KICHOKOyuko bize jikoni sasa hivi anachambua maharage.
Ukitaka kumtega kiurahisi aje humu we anzisha tu story za Mykhaylo Mudyrik fasta tu utamuona.
Tabia ya kuandika emoji za kuchekacheka ni tabia ya KICHOKO
Una tabia za KICHOKOCHOKO sanapunguza makasiriko wewe dadamlamayai.
Kunywa maji kidogo.Una tabia za KICHOKOCHOKO sana
Sasa Shakhtar wanataak paundi 88m baada ya sisi Chelsea kutangaza nia ya kuhijack hilo dili
Mchezaji anaitaka Arsenal na Shaktar wanaitaka Chelsea let's wait and see
Ndiyo maana mimi naipenda strategy ya liver kwenye usajili.wajinga kama chelsea wangejua deal la gapko lazima wangeingilia tuSasa Shakhtar wanataak paundi 88m baada ya sisi Chelsea kutangaza nia ya kuhijack hilo dili
Arsenal wameshasubmit paundi mil 70