Mie ni mshabiki wa Arsenal, nimeangalia yale magoli yanavyorudi nikaona mtu unaweza kuzimika ghafla. Ukweli watu hawawezi kubadilisha timu, ila kuwa mpenzi wa Arsenal inahitaji moyo saana. Leo nimeamua kucomment maana kila siku huwa nachungulia halafu naugulia maumivu. Hata leo Arsenal hawa hawatashinda. Yaani itakuwa ni kuokota point moja moja mpaka ligi inaisha. Threat kwa MAN U ni Chelsea peke yake na si Arsenal. Ngoja niendelee na Spain kwanza. Afya muhim