OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,932
- 25,245
Cheki hii takataka sasa😂😂😂 hii manjestaa yenye matoto mchele mchele yameleta nini kwenye hii wod Kap 😳😳😳FIFA President Gianni Infantino mwenyewe ameishukuru sana Man United na kusema wachezaji wa United ndio wamenogesha zaidi michuano ya world cup mwaka huu, Infantino ameendelea kudai kuwa bila ya wachezaji wa Manchester hii michuano isingekua na tofauti yoyote na mashindano ya Ndondo cup.
Wewe OllaChuga Oc naona kichwa yako inajiless, Gallas alitoka Chelkenge ndo aka Arsenal, muone huyu au umeanza kushabikia mwaka amba JPM alikabidhiwa nji. Au mwezi mchanga?Aya matakataka yanatukubali kinoma ndio akina Fabrigas, Gallas, Ashley Cole, Geroud walitoka arse8 wakaja kwetu wakapata mafanikio ya kutosha. Hamuna timu apo EPL isiyoipenda Chelsea. Chelsea ni mufano wa kuigwa, siyo manjestaa, siyo Livakuku, siyo nani..wote wanatamani kufikia mafanikio yetu. Sisi ndio Chelsea bwana, timu inayopendwa dunia nzima.🤣🤣🤣😂
Nyie kweli chelkengeLakini sisi ndio ROLE MODEL WENU.
Nyie kweli chelkengeView attachment 2447840Lakini sisi ndio ROLE MODEL WENU.
Chelkenge bhanaNyie matakataka arse8 na kakikosi kenu kiduchu mutashaini tu huu musimu uu. Mukipata majeruhi ndio mutajua hamujui
Unadhani sisi Ni chelkengeNiwafungue tu akili, Arse88 ina kikosi kidhaifu sana hamuwez kubeba hat kikombe cha kahawa msimu huu. Mkitaka kuamini Angalien wachezaji wote wa Arse88 waliokua WC ni wawili tu ndio waliokua wanaanza kikosi ch kwanza kwnye timu zao.
Hii picha yako inaonyesha Arsenyani ni wazee wa kuvuta banghe, yaani ni wale wa kulipuliza haswahaswa mpaka wengine wanahamishiwa kwenye hoteli ya Mirembe five stars.
Dah wenye matus Ni Hawa ChelKenge wanaoibukia humuHii picha yako inaonyesha Arsenyani ni wazee wa kuvuta banghe, yaani ni wale wa kulipuliza haswahaswa mpaka wengine wanahamishiwa kwenye hoteli ya Mirembe five stars.
Ndio maana humu mitusi haikauki kumbe sababu ni hayo majani ya chai. View attachment 2448145
Na kweli aisee.Dah wenye matus Ni Hawa ChelKenge wanaoibukia humu
Hatuwapi ng'oooo.Manchester City still eyeing Saka
kama Bellingham is valued USD 150m basi tuwape Saka kwa USD 200mHatuwapi ng'oooo.
Na huyo Bellingham ni overated tu, makelele ya waingereza.kama Bellingham is valued USD 150m basi tuwape Saka kwa USD 200m
Source:90minutesManchester City still eyeing Saka
Bellingham Ni Overrated ipo waziNa huyo Bellingham ni overated tu, makelele ya waingereza.
Bellingham Ni Overrated ipo wazi
Akikutana na Viungo wenye akili kidogo tu anapotea
Nilivyomuona mechi nyingi anatakiwa acheze alongside na 2 holding Midfielders ,ndio maana anaenda Liverpool ,maana Klopp atamtumia hivo
Ila akichezaga kwenye double pivot au no.10 huwa inategemea anakutana na Viungo gani
Mechi na USA ,alicheza Kama double 8 yeye na Mount nyuma Yao alikuwepo Rice , alipotezwa vibaya Sana ,alipoingia Henderson wakatulia .
Kinachonishangaza liverpool wame sacrifice msimu uliopita kutosajili kiungo wakisubiri summer 2023 watoe £130m kwa Bellingham.
Sikupingi kabisa, Kuna mtu nilimwambia alinipinga Sana, mechi na USA alinielewa , Ni Overrated , waingereza wanajua Sana kutumia media kutangaza wachezaji waoKiwango chake ni Sawa kabisaaaaaa na Joe willock