Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,720
Hoja hapa ilikua msimu ambao Atletico imebeba La Liga Sasa hizo current stats za Nini? Nani asiyejua Felix msimu huu hachezi? Ndio maana nikakwambia season 202/21 ambako formation ilibadilika from 4-4-2 kuwa 3-1-4-2 Walifunga magoli mengi as much as Real Madrid Sasa unachobisha ni Nini? Huyo Murdyk Yuko proven kwenye lipi so far kiasi he's better than Felix?!
2. Hayo ya maslahi akikwambia wapi? Angalia dakika alizokua anacheza Tomas Atletico linganisha na za Rodri na Saul na Koke!!! Alikua Hana namba Atletico sijui unaleta ujuaji wa Nini hapa. Nimeshakuambia hata Torreira alipokuja hakucheza kabisa same to Kondogbia sababu formation ilihitaji CM mmoja tu wengine wote ni Attackers kwenye flanks.
Ngoja nifukue hapa post zako za January alafu ujitafakari kama unaongozwaga na hisia au objectivity.
Acha kutudanganya hapa , Partey alikuwa starter pale ATM,
Unauliza Murdky amekuwa proven wapi? Upo serious kweli , Mchezaji anacheza timu inashiriki UCL , wewe unaleta Siasa uchwara
Atletico Hana falsafa ya possession football , hata miaka yote aliyobeba laliga
Unashangaa Arsenal kumtaka mchezaji kutoka Ukraine ...ila hushangai Arsenal kumnunua Martinelli kutoka Ligi daraja la 4 Brazil na kuja kuwa starter .