Ulimakafu
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 31,701
- 13,671
Partey, Jesus na Martineli wote walicheza, una jingine?HONGERENI KUMBE MNA WANNESISI ILE YA BRAZIL PEKEE TULIKUWA NA WATATU UKIACHANA NA URENO.
Partey, Jesus na Martineli wote walicheza, una jingine?HONGERENI KUMBE MNA WANNESISI ILE YA BRAZIL PEKEE TULIKUWA NA WATATU UKIACHANA NA URENO.
Kwa mujibu wa @jorgenicola mwandishi kutoka Brazil Jamaa anajua sana, nadhani kinachofanya awe namba mbili ni foot work yake bado haiko sawaMatt Turner is so good!
Footwork ameiprove Sana ,Jamaa anajua sana, nadhani kinachofanya awe namba mbili ni foot work yake bado haiko sawa
Matt Turner is so good!
| Matt Turner on Mikel Arteta: Wachezaji w arsenal wana nux wakiwepo kwnye kikosi hakishindi, uwepo wa saka umesababsha england isishinde. Nawashaur makocha wawaanzishe benchi kama alivyofanya kocha wa brazil.


sasa itakuaje? Mbona kwenye ile game waliyomshindilia Iran goli 6 Saka alianza na akapiga goli 2Huyo ngada zimemuharibu.sasa itakuaje? Mbona kwenye ile game waliyomshindilia Iran goli 6 Saka alianza na akapiga goli 2
Huyu si academy yetu huyu....Replacement ya Partey hii hapaView attachment 2428225