Vlada ni Mwandishi wa habari huyu, Jana kakomaa nae Sana aje ArsenalZinchenko pia anatakiwa awe makini sana, kwa hizi shobo za Vlada kwa Mykhailo hazina dalili nzuri, muda sio mrefu Zinchenko atagongewa mke wake. View attachment 2417227
Akibisha na hapa Basi Tena,Sio kumuelewesha mtu,dunia Sasa hivi Kijiji ,huwezi kumdanganya mtu
Ni wazi hufatilii mechi za arsenal huenda unaangalia kwenye liverscore
Tomiyasu stats zake Msimu huu arsenal kacheza mechi 17
Mechi 6 LB
Mechi 11 RB
National team kufuzu world cup
Mechi kacheza mechi 8 Zote Kama RCB & LCB
Sasa unapotaka kudai kacheza mechi 1 tu ya Liverpool Kama LB unatupanga,na hakuna atakayekukubalia
Umeenda mbali unadai Ni natural CB , meanwhile anakuja Arsenal kutoka bolgna
Kacheza mechi 64
Mechi 41 RB
Mechi 20 RCB & LCB
Mechi 2 LB
Msimu huu eneo la LB wapo Zinchenko,Tierney na Tomiyasu
Lakini anapokosekana Zinny ,2nd choice Ni Tomiyasu over Tierney ,na Kuna sababu ya msingi kabisa ,Arsenal haitumii Tena LB kushambulia Kama last season, LB anatakiwa kuwa na profile za kiungo, na Tomiyasu amewahi kucheza DM huko Japan timu za chini.
Huenda haangalii mechi , anasikia matokeo ,jamani muacheni amesema sasa hivi hana muda wa kuelewesha maboga halafu wewe na hamis77 mnakuja na evidence kabisa.
Tomy mnaemzungumzia nyinyi ni mwingine yeye anamzungumzia yule Tomy aliechezea Fiorentina ambako alikua ni RCB, mbona mnakua vichwa ngumu namna hio?
Ndugu yangu Castr umeingia cha kike, muungwana akivuliwa nguo huchutama ila muungwana wewe unazidi tu kukaza misuli ya shingo
Nafahamu ni mwandishi wa habari za michezo na sio agent wa wachezaji.Vlada ni Mwandishi wa habari huyu, Jana kakomaa nae Sana aje Arsenal
Tuliosoma Cuba tunajua huyu imebaki swala la Bei tu
Acha bhana , inaonekana wa Ukraine Ni Pini SanaNafahamu ni mwandishi wa habari na sio agent wa wachezaji.
Hawa wa Ukraine mi nawajua vizuri sana nilishakaa miaka 3 Odesa. View attachment 2417242
Oya CR7 anawasagia kunguni
Christiano alishatumbukia nyongo United baada tu ya kushindwa kufuzu kucheza Uefa.Oya CR7 anawasagia kunguni
| Cristiano Ronaldo: ‘In my opinion it will be hard to imagine #mufc at the top of the game in the next 2-3 years.’ [@PiersUncensored]
Sa kwanini nikudanganye ndugu yanguSio kumuelewesha mtu,dunia Sasa hivi Kijiji ,huwezi kumdanganya mtu
Ni wazi hufatilii mechi za arsenal huenda unaangalia kwenye liverscore
Tomiyasu stats zake Msimu huu arsenal kacheza mechi 17
Mechi 6 LB
Mechi 11 RB
National team kufuzu world cup
Mechi kacheza mechi 8 Zote Kama RCB & LCB
Sasa unapotaka kudai kacheza mechi 1 tu ya Liverpool Kama LB unatupanga,na hakuna atakayekukubalia
Umeenda mbali unadai Ni natural CB , meanwhile anakuja Arsenal kutoka bolgna
Kacheza mechi 64
Mechi 41 RB
Mechi 20 RCB & LCB
Mechi 2 LB
Msimu huu eneo la LB wapo Zinchenko,Tierney na Tomiyasu
Lakini anapokosekana Zinny ,2nd choice Ni Tomiyasu over Tierney ,na Kuna sababu ya msingi kabisa ,Arsenal haitumii Tena LB kushambulia Kama last season, LB anatakiwa kuwa na profile za kiungo, na Tomiyasu amewahi kucheza DM huko Japan timu za chini.
Unabishana na hizo data? Leta data zako kuthibitisha usemacho, Hajacheza mechi na Liverpool tu Kama LB , Ndio maana tunasema UNATUPANGA , ,Sa kwanini nikudanganye ndugu yangu
Nimemess up hapo kwenye timu. Ni Bologna siyo Fiorentina.
Na bologna alikua RCB.
Niles amewahi cheza lB na sababu ni hiyo ya dominant leg kulia ni rahisi kudefend dominant leg kushoto.
Mechi ya Liva Tierney akihojiwa alisema hakupangwa 'sababu za kimbinu'
Yaani ni kwamba he succesfully plays kama LB lakini huyu ni makeshift LB hatuwezi sema tuna LB watatu na yeye akiwemo. The only reason hachezi RB ni kwakua White amekua consistent mno na hiyo nafasi ambayo White aliianza baada ya Tomi kua majeruhi
Hizi Troll tu watu wanajitungia ,Cr7
"One day i walked into Erik Ten Hang’s office unannounced and i caught him red handed..
Him, Rashford and Sancho, he was forcing Sancho and Rashford to call him Arteta and forced Rashford and Sancho to call themselves Martinelli and Saka respectively.
There and then i knew there is no football club here"- Cristiano Ronaldo
Hivi vikomedi vya kutunga ndiyo vinafanya dunia izunguke 😀Cr7
"One day i walked into Erik Ten Hang’s office unannounced and i caught him red handed..
Him, Rashford and Sancho, he was forcing Sancho and Rashford to call him Arteta and forced Rashford and Sancho to call themselves Martinelli and Saka respectively.
There and then i knew there is no football club here"- Cristiano Ronaldo
Arsenal hapa anatakiwa atoke na pointi si chini ya 13Ratiba yetu Baada ya World Cup
Sioni wakutoa hata sare hapa
Sijaona timu hapa inayotuzidi kumiliki mpira ,
Ukiweza kumiliki mpira Basi 80% una uhakika wakushinda mechi .
Arsenal msimu huu kila Mechi karibu zote tunapiga pass 500+ iwe away au home,
Timu zinazocheza Low block Ndio tunazitaka
Ukibisha naweka MsimamoView attachment 2416204