"Sizitaki mbichi hizi" heheheheheLondon kilio, ila kwa upande wetu sio mbaya sana, tumepunguziwa majukumu sasa tu focus na epl na europaView attachment 2411884
Sent from my TECNO LC6 using JamiiForums mobile app
Kwenye Carabao Arsenyani kalabao 3.“We’re going to pick a very competitive team (vs Brighton)
Siku hizi mbona msimamo huleti?
Badala msikitike ,tunazidi kupata muda wakuwanyoa Epl na Europa ,wewe unagurahiaKwenye Carabao Arsenyani kalabao 3.
Msimu huu mpaka unaisha mi nawahakikishia hamtabeba hata kombe la uji.
Mtaishia kupewa tuzo tu za kocha na mchezaji za bora wa mwezi.
Tuangalie mech ijayo JumamosSimba na arsenal matokeo yetu yanafanana tukicheza siku moja
SIKU HIZI MSIMAMO UMEGOMA KABISA KULETA?
Jumamosi ndio muhimu zaidi.Tuangalie mech ijayo Jumamos
Hatujawahi kuwa na bahat na CARABAO ,mara ya mwisho kubeba Ni mwaka 1992 nadhan
Brighton ndio makombe yao haoHuyu brighton siyo mtu pouwa sana. Alimtandika Man u 4 tukasema man u viraza, akanitandika 4 safi jana kawatandika timu iliyoko kwenye form ya dunia. Angalii yupo ugenini wala nyumbani yeye kutoa dozi kama Newcastle tu
Uropa yenyewe hamfiki mbali, hio ligi mzunguko wa pili ukianza tu pumzi inakata na kuanza kupoteana kisha mnaanza kumtukana Arteta.Badala msikitike ,tunazidi kupata muda wakuwanyoa Epl na Europa ,wewe unagurahia
Malizana na barca kwanza ndio uje kuzungumzia habari zetu za Europe leagueUropa yenyewe hamfiki mbali, hio ligi mzunguko wa pili ukianza tu pumzi inakata na kuanza kupoteana kisha mnaanza kumtukana Arteta.
Nyinyi bado saaana kuchukua kombe lolote kwa sasa.