makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 36,011
- 104,572
Tottenham nae anaenda kufa Leo... Yajayo yanafurahishaArsenal imeshinda
Chelsea kafa
United anaongozwa mbili
A perfect evening
Tottenham nae anaenda kufa Leo... Yajayo yanafurahishaArsenal imeshinda
Chelsea kafa
United anaongozwa mbili
A perfect evening
Hatukuwa na matumaini ya kuwa EPL winners but kwa Top 4 ilikuwa ni suala la lazima kwa sasa tumeachana na top 4 tunatafuta ubingwa na tupo very serious na hilo kwa sasa so let's hope kwa hiliMkuu ukisema hivyo mimi unanikosea sana
Mara ngapi humu huwa nasema ARSENAL NDOO
Kuwe na addition ya wawili au watatu kwenye nafasi muhimu, fatigue na hii marathon tusije kukimbiana May mkuu.Hatukuwa na matumaini ya kuwa EPL winners but kwa Top 4 ilikuwa ni suala la lazima kwa sasa tumeachana na top 4 tunatafuta ubingwa na tupo very serious na hilo kwa sasa so let's hope kwa hili
kuna haja ya mido,winger na strikerKuwe na addition ya wawili au watatu kwenye nafasi muhimu, fatigue na hii marathon tusije kukimbiana May mkuu.
Kwa sasa hili suala ni la lazima January lazima tuingie sokoni ASAP tuna quality ya first eleven pekee benchi letu ni Maji kujaa ukimtoa Tierney na Matt (Goal keeper) hakuna mwingine wa kuoffer jambo jipya ArsenalKuwe na addition ya wawili au watatu kwenye nafasi muhimu, fatigue na hii marathon tusije kukimbiana May mkuu.
Unawakosea heshima Tomiyasu, Smith Rowe,elnenyKwa sasa hili suala ni la lazima January lazima tuingie sokoni ASAP tuna quality ya first eleven pekee benchi letu ni Maji kujaa ukimtoa Tierney na Matt (Goal keeper) hakuna mwingine wa kuoffer jambo jipya Arsenal
msisitizo upo hapo kwenye anawezaLiva anaweza kufa leo
mimba inaendeleaje??Leo sisi London kings tunawalala nyuma na mbele nyie asenyeto , leo pale Stamford lazima muondoke na mimba .
Ni fito mwanzo mwisho
Kweli, Hata Mimi sikutegemea kama timu itaimarika kiasi hiki!... Tukiongeza wachezaji wawili au watatu january, HAKIKA tunabeba ndooHatukuwa na matumaini ya kuwa EPL winners but kwa Top 4 ilikuwa ni suala la lazima kwa sasa tumeachana na top 4 tunatafuta ubingwa na tupo very serious na hilo kwa sasa so let's hope kwa hili